mbona kama Tin WhiteNimeitoa FB
============================================================================
R.I.P uyo mwanamke ndiye marehemu na huyo wapembeni ndiye alikua akiishi nae kama mume hivyo alichukua jukumu la kumuua mke wake mchana waleo akiwa shambani hivyo alipo fanya tukio alichukua simu ya marehemu na kutuma sms kwa watoto wake ambao wao walikua nyumbani "sms ikisema (BABA ENU MDOGO AKIJA MPATIENI LAKI TATU)
Hivyo jama alipofka nyumbani akawaambia watoto mmeona sms ya mama yenu watoto walisema ndiyo, kisha wakampatia hela huyo baba kiasi cha tsh 300,000/= uyo baba wa kambo akaondoka,
lkn muda ulizidi kwenda, Mama yao wakaona haludi nyumbani, wakapatwa na mashaka walichukua jukumu la kwenda kumtafuta shambani maeneo YALUGONGA na kukuta Uyo mama kauwawa kwa kunyongwa lkn huyo jamaa yeye alichukua boda na kuelekea BAHI akiwa tayari amechukua mizigo yake,
TUKIO ILI LIMETOKEA SAA NANE MCHANA LEO TAREHE 20~07~2026, MKOA WA DODOMA WILAYA YA BAHI,
mpaka sasa saa 20:39 mwili upo shambani wanasubiliwa polic
============================================================================
View attachment 3634206
Tatizo lilianzia hapa.!(BABA ENU MDOGO AKIJA MPATIENI LAKI TATU)
Hivyo jama alipofka nyumbani akawaambia watoto mmeona sms ya mama yenu watoto walisema ndiyo, kisha wakampatia hela huyo baba kiasi cha tsh 300,000/= uyo baba wa kambo akaondoka,
Hujaona komenti yangu hapo juu? Halafu mimi umenihusisha vipi na huu uzi?Tatizo lilianzia hapa.!
Mama hakuwahi kumpa nafasi mwamba kuwa mkuu wa kaya
Nadhani alimkubali kwa haja zake binafsi
Kwanini Nasema hivi.!?
Fikiri hili na ujasiri wa uongo uliotumika
Mtuhumiwa alijua hali yake ya nyongeza kwa familia isiyomuhusu
Mpaka akaunda uchungu wa maamuzi ulio halali kutimiliza makasiriko yake.!
Ushauri.. Singo maza jishikieni mtaangamia.!
Khantwe umeona huu uzi.?
Hata kama wa ni kutunga bado una maumivu
Sema nawe una ka ukali kama kama binti mlokole kukemea pepoHujaona komenti yangu hapo juu? Halafu mimi umenihusisha vipi na huu uzi?
Eti nawe dini gani imekataza kulewa na Wabeba zegeMimi sio muumini wa ile dini ya 'usiolewe na mwanaume maskini' ila watu hawa nawaelewa na nawaunga mkono because wtf is this? Mtu anatoa mwenzie uhai kwa laki tatu!
Inaumiza sana...sana ..tena mno.DAAH lazima kuwa na tahadhari kubwa !!!!!!!!
Ninaposema dini simaanishi dini literally mkuu...nimeiita dini kwa sababu hiyo slogan ina wafuasi wanaoifuata na kuisimamiaEti nawe dini gani imekataza kulewa na Wabeba zege
Hivi kumbe hapo nimeandika kwa ukaliSema nawe una ka ukali kama kama binti mlokole kukemea pepo
Huwa sisomagi vyote hivyo nipe # ya quote
Aina ya akili za kina Mwashambwa na Tlaatlaah hizi. Hovyo kabisa.Nimeitoa FB
============================================================================
R.I.P uyo mwanamke ndiye marehemu na huyo wapembeni ndiye alikua akiishi nae kama mume hivyo alichukua jukumu la kumuua mke wake mchana waleo akiwa shambani hivyo alipo fanya tukio alichukua simu ya marehemu na kutuma sms kwa watoto wake ambao wao walikua nyumbani "sms ikisema (BABA ENU MDOGO AKIJA MPATIENI LAKI TATU)
Mjane wa magufuli vipi samia na jpm ni kitu kimoja?Chadema wanadanganya sana watu .