Kwanini aliuza nyumba ya jamaa?Kwanini alivyoachiwa mara ya kwanza kwa dhamana alitoweka?
Kwanini alikuwa anatumia simu ya marehemu kuwataarifu ndugu(akijifanya kama marehemu akiwaambia wasimtafute atarudi)?
Yule shetani ni muuaji asiyefaa hata katika jamii, Period.
#Hallelujah!!!
Ushajua ni mtu ana familia yake tena analelewa na mkewe bado unataka kujua nini kingine?
Zinduka msichana ungelikuwa dada angu ningekuzaba makofi(jokes).
Kwa maelezo yako inaonekana akija kukudanganya tena utamkubalia, kweli dunia hadaa.
#Hallelujah!!!
Kama jambo halijawahi kukukuta hauna haja ya kubisha wala kuwapinga wanaosema wameshakumbana nalo.
Ulimwengu una mambo mengi sana yaliowazi na yaliojificha, hatuwezi kujua wala kuwa na ufahamu na kila jambo lililopo ulimwenguni.
#Hallelujah
Tamaa za mali ndiyo zinafanya huyo dada na mama ake wanakuwa watumwa? Hawezi kujiengua hapo akatafute maisha mbele ya safari? Inasikitisha sana kwakweli hii dunia ina balaa kweli usitamani cha mtu maayoooo!!.
#Hallelujah
Umemaliza kila kitu mkuu labda niongezee kitu kidogo tu, Ghulam Hussein sio mwarabu kama huyo mleta mada za huko vijiweni alivyoleta bali Ghulam Hussein ni Mhindi na ni miongoni mwa binadamu matajiri wachache sana wenye roho za kusaidia mnoo.
Mungu ambariki zaidi yule mzee Ghulam Hussein👏...
Mtoa mada unamfahamu huyo Ghulam Hussein? Mbona kama umebase kumchafua Ghulam Hussein aonekane mbaya kwa watu wasiomjua?
Jitahidi kutoa habari ambazo una uhakika nazo na sio kuleta upotoshaji kwa jamii.
#Hallelujah!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.