Vodacom wamelink up na Paypal, kama wewe ni mtumiaji wa ile app ya M-Pesa utaona kuna section ya kulink up account yako ya Paypal na Mpesa number yako.
#Hallelujah!!!
Kwanini aliuza nyumba ya jamaa?Kwanini alivyoachiwa mara ya kwanza kwa dhamana alitoweka?
Kwanini alikuwa anatumia simu ya marehemu kuwataarifu ndugu(akijifanya kama marehemu akiwaambia wasimtafute atarudi)?
Yule shetani ni muuaji asiyefaa hata katika jamii, Period.
#Hallelujah!!!
Ushajua ni mtu ana familia yake tena analelewa na mkewe bado unataka kujua nini kingine?
Zinduka msichana ungelikuwa dada angu ningekuzaba makofi(jokes).
Kwa maelezo yako inaonekana akija kukudanganya tena utamkubalia, kweli dunia hadaa.
#Hallelujah!!!
Kama jambo halijawahi kukukuta hauna haja ya kubisha wala kuwapinga wanaosema wameshakumbana nalo.
Ulimwengu una mambo mengi sana yaliowazi na yaliojificha, hatuwezi kujua wala kuwa na ufahamu na kila jambo lililopo ulimwenguni.
#Hallelujah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.