Recent content by Am_tunnechi

  1. Am_tunnechi

    Usimuwekee dawa ya kienyeji kwa siri mtu bila kuijua zaidi hiyo dawa, ndo chanzo cha yule dada kumuua mumewe

    Kwanini aliuza nyumba ya jamaa?Kwanini alivyoachiwa mara ya kwanza kwa dhamana alitoweka? Kwanini alikuwa anatumia simu ya marehemu kuwataarifu ndugu(akijifanya kama marehemu akiwaambia wasimtafute atarudi)? Yule shetani ni muuaji asiyefaa hata katika jamii, Period. #Hallelujah!!!
  2. Am_tunnechi

    Ushauri wenu tafadhari. Nimfuate huyu mwanaume kumuuliza kwa nini alinidanganya au nifanye?

    Ushajua ni mtu ana familia yake tena analelewa na mkewe bado unataka kujua nini kingine? Zinduka msichana ungelikuwa dada angu ningekuzaba makofi(jokes). Kwa maelezo yako inaonekana akija kukudanganya tena utamkubalia, kweli dunia hadaa. #Hallelujah!!!
  3. Am_tunnechi

    JamiiForums Usiku wa manane

    02:55 Radi zinakung'uruma vibaya vibaya #Hallelujah
  4. Am_tunnechi

    JamiiForums Usiku wa manane

    02:34 Vilabu ya uingereza vinalala na viatu leo. #Hallelujah
  5. Am_tunnechi

    JamiiForums Usiku wa manane

    00:05 #Hallelujah
  6. Am_tunnechi

    JamiiForums Usiku wa manane

    02:50 #Hallelujah
  7. Am_tunnechi

    Hakuna majini, wale wote wanaoanguka mapepo kwenye maombi na kuanza kuongea lugha zisizoeleweka ni mapandikizi/planned game

    Kama jambo halijawahi kukukuta hauna haja ya kubisha wala kuwapinga wanaosema wameshakumbana nalo. Ulimwengu una mambo mengi sana yaliowazi na yaliojificha, hatuwezi kujua wala kuwa na ufahamu na kila jambo lililopo ulimwenguni. #Hallelujah
  8. Am_tunnechi

    JamiiForums Usiku wa manane

    01:00 #Hallelujah
  9. Am_tunnechi

    Naomba nisaidie mawazo mimi nna miaka 35 nimeolewa miaka 7 iliyopita mume wangu ana uwezo mkubwa sana

    Tamaa za mali ndiyo zinafanya huyo dada na mama ake wanakuwa watumwa? Hawezi kujiengua hapo akatafute maisha mbele ya safari? Inasikitisha sana kwakweli hii dunia ina balaa kweli usitamani cha mtu maayoooo!!. #Hallelujah
  10. Am_tunnechi

    DOKEZO Mfadhili wa Kiarabu awang'ang'ania watoto wa kike wa Kimasai kwa miaka kumi na hataki kuwarudisha makwao

    Umemaliza kila kitu mkuu labda niongezee kitu kidogo tu, Ghulam Hussein sio mwarabu kama huyo mleta mada za huko vijiweni alivyoleta bali Ghulam Hussein ni Mhindi na ni miongoni mwa binadamu matajiri wachache sana wenye roho za kusaidia mnoo. Mungu ambariki zaidi yule mzee Ghulam Hussein👏...
  11. Am_tunnechi

    DOKEZO Mfadhili wa Kiarabu awang'ang'ania watoto wa kike wa Kimasai kwa miaka kumi na hataki kuwarudisha makwao

    Mtoa mada unamfahamu huyo Ghulam Hussein? Mbona kama umebase kumchafua Ghulam Hussein aonekane mbaya kwa watu wasiomjua? Jitahidi kutoa habari ambazo una uhakika nazo na sio kuleta upotoshaji kwa jamii. #Hallelujah!!!
Back
Top Bottom