Changamoto kubwa iliyopo kwa sasa karibu kila mtu amekuwa mwanahabari. Kila mtu anaripoti matukio yanayoendelea duniani, kila mtu ni mchambuzi. Inaboa mno
Niende moja kwa moja kwenye mada
Naomba kujuzwa, Wabunge, Mawaziri na Rais bado wanatumikia viti vyao ilhali wapo kwenye kuomba kura kwa wananchi?
Kwa sababu bado huko kwenye baadhi ya majukwaa wanaitwa na kutajwa kwa zile nafasi zao. Mf: kama jana kwenye tukio la club ya simba.
Hawa viumbe pasua vichwa sana mm nilikuwa natuma pesa za mahitaji anatumia kwa matumizi yake anakupa list ya mahitaji mfano shule unatuma pesa ukienda kumuona mtoto unakuja hana viatu vya shule wakati pesa ulituma.
Tatizo la wababa kutelekeza watoto bila kuhudumia lipo. Lkn kwa uzoefu wangu kidogo baadhi yao shida kubwa ipo kwa wanawake, unakuta mwanaume unapambana huna ajira ya kueleweka unajitahidi kile kidogo unachokipata unampatia mama kwaajili ya mtoto, bila kujali wala kuthamini unachompa unakutana...
Mzee unajua CMB 1 Zinakaa Brenda PC ngapi na gharama ya kusafirisha hiyo CBM 1 ni kisasi gani? Kodi ya frem na store ni bei gani. tafuta majibu ukipata rudi hapa tupatie marejesho pia.
Mkuu jitahidi siku moja uagiza walau tu bidhaa za milioni 50 alafu mzigo ufike bandarini ufanye clearence utoe hapo upeleke store then upeleke dukani
NDUGU UNAJUA KELELE ZA WATU WA KARIAKOOO ATI WACHINA WANAFANYA KAZI ZA WAZAWA HAKUNAAAA
Mkuu jitahidi siku moja uagiza walau tu bidhaa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.