Recent content by Am For Real

  1. Am For Real

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Jifunzeni Ku-Handle Familia Zenu: Usikubali Uongozi wa Nyumba Ugeuke Ukoloni!

    Tukuite nani chagua moja kati ya hizi 1 Chronic Simp S25 Ultra 2 Chronic Simp 16pro max
  2. Am For Real

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Why women like nonchalant patner

    While the idea of a nonchalant partner might initially seem appealing in certain ways, it's important to consider the potential benefits with a balanced perspective, especially in the context of a long-term, fulfilling relationship. Here are some potential benefits, keeping in mind that these...
  3. Am For Real

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye mke wangu tuliyekutana JamiiForums tumeachana!

    Huna kosa mkuu kumambia ukweli kwani kama hataki hamna haja ya kulazimisha.
  4. Am For Real

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nikiona maziwa ya mwanamke napata msisimko na kurukwa na akili

    Ipo hivi kuna cream zimedizainiwa kwenye Ulimwengu wa giza na kuletwa katika dunia hii ili wanawake wapake katika maziwa yao na mapaja lazima uwatamani na kupagawa.Na mwisho wa siku utaishia kwenda kuzini au kama ni domo zege utaenda kupiga punyeto. Cha msingi oa kama huwezi sali kila siku alafu...
  5. Am For Real

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simu hii inakupa hadhi sawa na Samsung Galaxy S25 Ultra

    Habarini wadau wa tech jamii Forums napenda kuwatakia maisha mema. Kuna hii simu inaitwa So what S25 Ultra nimejaribu kuiangalia na imenipendeza Sana maana Ina muonekano sawa na Samsung S25 Ultra kuanzia Camera mpaka display. Baadhi ya specs zake ni hizi: 1 Inakuja na So what S pen kama ya...
  6. Am For Real

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simu imeblokiwa msaada wa ku unlock

    Simu ya wizi au mkopo yawezekana.
  7. Am For Real

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu poleni na majukumu, nimekutana na hasara kwenye hii biashara yangu ya kuonyesha mpira

    Wachawi wapo pia mshirikishe Mungu usishangae ukanunua TV nyingine Unapata CHANGAMOTO.
  8. Am For Real

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini mwanaume na mwanamke hawafanani hamu ya ngono?

    Sababu mwanamke ndyo chakula Cha Mwanaume
  9. Am For Real

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri kwa vijana wa kiume ambao hawajaoa

    Huu ni ukweli mchungu 1) WATAFUTE KWANZA KUSUDI LA MUNGU KATIKA MAISHA YAO Ni vema sana ndoa ikakukuta ukiwa tayari umeshaujua kusudi la MUNGU kwenye maisha yako maana itakusaidia kumpata mwanamke atakayekubali maono yako na atakayekuwa tayari kuendana na kile ulichokibeba kwa ajili ya kusudi...
  10. Am For Real

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume akiwa hivi mimi Hoi

    Anayeongea hapa ni mtu mzima Kwa kweli tuna safari ndefu sana.
  11. Am For Real

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi matamu jamani

    Hahahaha endelea kujidanganya subiri muingie part 2 huo ni mwanzo subiri gia zianze kuchanganya.
  12. Am For Real

    JamiiForums Tanzania NAOMBA kujua namba ya kujiunga UTTAMIS kuwekeza

    Habari watanzania humu ndani.Nimekuwa nikiskia Kwamba UTT AMIS inaruhusu kuwekeza Fedha Kwa riba nzuri tu ila sijui process za kujiunga na kutumia.Naomba msaada. Uzi umeisha.
  13. Am For Real

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina Miaka 27 lakini watu wananiona kama mzee

    Mtindo wangu wa maisha na kuvaa kwangu navaa kama kijana na mambo yangu ni ya vijana lakini watu wananiona kama mzee. Kuna wazee wamenizidi umri lakini wananiamkia na kunipigia magoti na Mimi nabaki kuwashangaa.Nikijiangalia kwenye kioo naona uumbaji wa Mungu upo sahivi Wala sio mimi sio Mzee...
Back
Top Bottom