Mwenye maisha kila mtu na njia yake ya kusaidika. Mwenzio katuma email kajibiwa. Haina maana na wewe ukituma utajibiwa. All in all ushuhuda ni mzuri ila kila mtu na njia yake. Pambana mkuu
Una milioni kumi kwenye gari, then unaacha mlango wazi ili uende kula maeneo ya stand ya mbezi? Mpaka hapo upelelezi imekamilika ya kua taarifa ni ya uongo.
Asante Mtumishi kwa andiko zuri. Lakini naomba nitofautiane na wewe kidogo kwa namna nzuri ya kuelimishana kuhusu neno. Ni kweli kabisa Maombi ndio muhimili na uti wa Mgongo wa Mwamini. Lakini sio sahihi kwamba kila Mwamini lazima anene kwa Lugha ndipo ambapo apate matokeo tarajiwa. Ingawa...
Yaani kweli unaona sasa unakufa na una nafasi ya kutubu. Umuite Kiongozi umwachie wosia wa namna ya kuendelea na majukum na uache njia ya kutengeneza njia yako huko uendako? Inashangaza sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.