mmmh!huwa najiuliza sana mbna kila wakat huyo ahmed rajab anaandka abt nyerere? this is not the first time naona hili, nadhani ana taaluma kubwa sana but bado hajawa objective ktk uandshi wake ni subjective sana... ajarb kuwa objective mana habari gani isiyo na mizania?...
Mimi ni mjasiriamali toka tunduru natamani kufaham je asali ina soko kiasi gani then ni vigezo vp vinapaswa kufuatwa ili kufanya biashara ya asali kisheria.. naamin wadau mtanisaidia ktk hili, natangulza shukran zangu kwenu.
hakika mfuko huu ni mkombozi, ukizingatia kuwa maradhi yanaweza kukupata wakati wowote, hvyo unakuwa una uhakika wa kupata tiba tatizo ni utekelezaji wake ni mgumu sana as long as watu wanakosa huduma pa1 na kumiliki bima za afya na pesa zetu wanachukua that is not fair!
Mimi nipo tunduru- marumba! netwrk inazingua sana wakat mnara wa voda upo aiseeee! ni mateso uktaka kuwasliana hadi ujiposition mbali na makazi ya watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.