Kama upo dar nakushauri uende TCU ila kama upo mbali jaribu kuwasliana na hicho chuo unachokitaka kama katka hiyo kozi nafasi bado ipo then tumia zile code Ku confirm baada ya hapo wapigie muce wakutoe kwenye chuo chao maana hapo utakua umedahiliwa vyuo viwili
ORODHA YA MAJINA WANAOTAKIWA KUSAHIHISHA MAOMBI YA MIKOPO 2019/2020
HESLB imetoa orodha ya waombaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2019/2020 ambao fomu zao zina upungufu ili wafanye marekebisho kwa siku nne kuanzia kesho Jumatatu tarehe 30 Septemba 2019 ambapo pia mwongozo wa jinsi ya kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.