Mungoni Mshamba
Senior Member
- Jan 30, 2017
- 154
- 63
Na walioomba chuo kimoja majina yao ni lini
Pitia chuo husika
Na walioomba chuo kimoja majina yao ni lini
Mkuu salama. Tumeingia msimu mwingine wa udahili na confirmation code I hope mambo yatakuwa poa mwaka huu.Habari za miaka mdau mwenzangu wa elimu ?
Mkuu salama. Tumeingia msimu mwingine wa udahili na confirmation code I hope mambo yatakuwa poa mwaka huu.
Competitions and admission capacity! Hata chuo kikisema idadi ya pointi ni nne,kumbuka wapo watu wengi wenye nne na nafasi ni chache! Wakati mwingine chuo kinaweza kikawa hakijajaa na ukakiona kipo kwenye second round ila wewe umekosa. Hapo ujue kwamba wametunza nafasi kwa watakaoomba tena na wakawa na sifa bora zaidi!Mfano,pointi zinazohitajika ni nne,lakini wakati wanadahili wapo wengi wenye zaidi ya nne kwa iyo wanapandisha pointi na unajikuta wewe mwenye nne kamili umekosa.Hv ni sababu zipii zinaweza kupelekea usichaguliwe na chuo fulani. Wakat ukiangalia qulaifications wanazotaka Unazo kubwa sanaa.
Kuna mdau ana idea
Ushindani unaweza kuchangiaHv ni sababu zipii zinaweza kupelekea usichaguliwe na chuo fulani. Wakat ukiangalia qulaifications wanazotaka Unazo kubwa sanaa.
Kuna mdau ana idea
Ooi wana.. Hivi kama mtu keshachaguliwa alafu hakuridhia kwa sababu zake binafsi anaweza akaomba teeena au system zinamkataa???
Kuna dogo mangu saana... Kozi anayoipenda aliiweka chagua la pili kwa kuwa ataikosa ya kwanza apewe ya pili.. Matokeo yake kateuliwa ya kwanza ambayo haipend.. Anahaha kuichomoa..
Hii list man ... Yenyewe au magumashi.MAJINA HAYA HAPA YA BAADHI YA VYUO, KAZI KWENU
Applicants Selection - First Round 2019/2020
The Hubert Kairuki Memorial University is a private medical university in Dar es Salaam, Tanzania. It is an accredited university recognized by the government Tanzania through the Tanzania Commission for Universities.www.hkmu.ac.tz
http://sautarusha.ac.tz/images/UNDERGRADUATE APPLICATION FORM 2019-2020.pdf
https://www.stemmuco.ac.tz/index_htm_files/LIST OF SELECTED STUDENTS.pdf
http://www.amucta.ac.tz/downloads/Selected Applicant 2019_2020.pdf
http://www.waterinstitute.ac.tz/upl...6288409-TCU_SELECTION_STATUS_WI_2019_2020.pdf
http://www.aru.ac.tz/images/Admissions_2019-_2020/Single_AdmissionNEW.pdf
https://www.muhas.ac.tz/announcements/199
https://sautmbeya.ac.tz/news/list_of_selected_applicants_round_one_admission_cycle_2019-2020
Jordan University College[JUCo]
www.juco.ac.tz
http://kcmuco.ac.tz/wp-content/uploads/2019/08/Selected-Applicants.pdf
http://mocu.ac.tz/wp-content/upload...THE-FIRST-ROUND-OF-APPLICATIONS-2019_2020.pdf
S0709/0001/2020Unaiandika kwa mtindo gani hiyo namba ya form four kiongozi..?
Consideration huwa ni chaguo la kwanza, ni ngumu kupewa chaguo la pili wakati kuna watu kwao ni chaguo la kwanza.
Cha kumshauri aende chuo ataomba kubadili program.
Link ya DIT hauna kuna dgo.anansumbua hapaMAJINA HAYA HAPA YA BAADHI YA VYUO, KAZI KWENU
Applicants Selection - First Round 2019/2020
The Hubert Kairuki Memorial University is a private medical university in Dar es Salaam, Tanzania. It is an accredited university recognized by the government Tanzania through the Tanzania Commission for Universities.www.hkmu.ac.tz
http://sautarusha.ac.tz/images/UNDERGRADUATE APPLICATION FORM 2019-2020.pdf
https://www.stemmuco.ac.tz/index_htm_files/LIST OF SELECTED STUDENTS.pdf
http://www.amucta.ac.tz/downloads/Selected Applicant 2019_2020.pdf
http://www.waterinstitute.ac.tz/upl...6288409-TCU_SELECTION_STATUS_WI_2019_2020.pdf
http://www.aru.ac.tz/images/Admissions_2019-_2020/Single_AdmissionNEW.pdf
https://www.muhas.ac.tz/announcements/199
https://sautmbeya.ac.tz/news/list_of_selected_applicants_round_one_admission_cycle_2019-2020
Jordan University College[JUCo]
www.juco.ac.tz
http://kcmuco.ac.tz/wp-content/uploads/2019/08/Selected-Applicants.pdf
http://mocu.ac.tz/wp-content/upload...THE-FIRST-ROUND-OF-APPLICATIONS-2019_2020.pdf
Hata Mimi nimekua nikitafuta link yao kwa muda mrefu bila mafanikio naona akaunt hazifungukiudom sijaona selected student mwenye link
Non multiple selected applicants????Hawa ndio waliopata vyuo katika raundi ya 1 ya kuomba vyuo.
Aidha kwa wale waliochaguliwa chuo zaidi ya kimoja wanapaswa kuthibitisha chuo kimoja kwa kutumia kodi maalumu watakazotumiwa kwenye namba/barua pepe zao.