Recent content by Alper

  1. A

    Kuombewa na mtumishi wa Mungu GeorDavie ni laki moja kwa kila mtu

    UNADHANI KILA MTUMISHI KAAGIZWA NA MUNGU?.....Tafakari Why alisema AGALIE WENGI WATAKUJA KWA JINA LANGU.
  2. A

    Kuombewa na mtumishi wa Mungu GeorDavie ni laki moja kwa kila mtu

    UNADHANI KILA MTUMISHI KAAGIZWA NA MUNGU ETI?.Sahau....
  3. A

    Mchungaji Anthony Lusokelo apinga ndoa za mke mmoja

    Mjadala huu Umeletwa Kipagani au Kikafiri dhahiri
  4. A

    Tundu Lissu: Nmenusurika kupigwa na Steven Wassira, ngumi ya kwanza nliikwepa

    Hatari sana,Watu waambiwao ukweli mara zote hugadhabika sana.
  5. A

    Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

    Hamorapa Anatisha sana Mmeona Mbio Zake Baada ya Mweshimiwa Nape kutolewa Bastora Alovyo kimbia mbio. Hahaha Pole sana Hamorapa Punguza misele.
  6. A

    Dr Jakaya Kikwete kaa kimya baba, Ukisema sema neno moja tu kuwa umewasamehe

    NAULIZA JE RAISI GANI WA KUKUMBUKWA HAPA TZ TOFAUTI NA MWALIMU!?.Yupi mweredi zaidi.
  7. A

    Dr Jakaya Kikwete kaa kimya baba, Ukisema sema neno moja tu kuwa umewasamehe

    Twendeni SALAMA tuone hadi Mwisho
  8. A

    Dr Jakaya Kikwete kaa kimya baba, Ukisema sema neno moja tu kuwa umewasamehe

    Nilazima sasa Watanzania yatupasa kujenga staha ya maneno yanayo toka midomoni mwetu maana gharama yake ni kubwa sana. Tulisema mengi sana pasipo kujali kwamba maneno hayo yanatengeneza taswira gani ya hapo baadaye. Asante JK Busara zako na hakika Mungu ni lazima atakulipia kwa zawadi ya kipekee.
  9. A

    Uvamizi Clouds Media Group: Kamishna Sirro awataka wahusika wakaripoti polisi haraka

    Nashukuru sana Watanzania kwa kumsoma mapema
  10. A

    Mheshimiwa Rais unatuacha wananchi njiapanda na maswali mengi!

    Kauli hizo WATZ NI nzuri sana katika kutuhamasisha mwaka 2020 kufanya yetu ya kweli
  11. A

    Jukwaa la Wahariri wampiga BAN Mkuu wa Mkoa wa Dar kwenye Media zote nchini

    Hahahahaha haya bhana inatisha,Tena ikiwezekana Serikali Nzima na Wabaki Na YBC YAO AMABAYO HAINAGA HATA WATIZAMAJI.
Back
Top Bottom