mama chupaki
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 940
- 758
Hatari sana,Watu waambiwao ukweli mara zote hugadhabika sana.Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu alinusurika kushambuliwa na aliyekuwa Mbunge wa Bunda, Steven Wassira katika moja ya vikao vya Bunge Mjini Dodoma.
Lissu aliyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na gazeti la Mwananchi kuhusu maisha yake binafsi na mambo mbalimbali ambayo amewahi kukutana nayo, ambapo alielezea pia kesi ambazo zinamkabili, maisha ya mahabusu, familia yake, burudani anazopenda pamoja na uhusiano wake na watu mbalimbali.
Mbunge huyo alisema Wassira alitaka kumpiga baada ya maneno makali aliyomtolea bungeni wakati akichangia hoja. Miongoni mwa maneno yaliyomkwaza Wassira ni baada ya Lissu kumwambia kuwa alijiunga upinzani akidhani kuna fedha na alipogundua hakuna ndipo akakimbia kurudi CCM.
“Alichukia sana. Sasa nimetoka pale naenda chooni, nikamkuta akiwa na wabunge wengine wa CCM. Aliponiona akaanza kunifuata akiniambia kuwa atanipiga,“ alisema Lissu
Lissu alisema kuwa alimuona Wassira akizidi kumkaribia ambapo alikuwa akielekea kwenye kona ili ampate vizuri. “Na akikasirika anakuwa mkubwa kweli, alafu mimi mdogo. Nikawa nawaangalia wale wabunge wengine wa CCM kama wataingilia kuamua, naona hakuna anayetaka kumzuia.”
Akisimulia tukio hilo Lissu alisema, Wassira alirusha ngumi ya kwanza akaikwepa, aliporusha ya pili ikamkosa huku Wassira anazidi kusogelea, akawaza kuwa akipiga hatua nyingine moja atampiga teke, wakati anaugulia maumivu yeye atakimbia. Lakini Wassira aligeuka na kuondoka zake.
Chanzo: Mtandaoni
Lisu anatafuta umaarufu kupitia watu mahili wa CCM.Hatari sana,Watu waambiwao ukweli mara zote hugadhabika sana.
Kuna kitu lisu hakukieleza vizuri. Nilipata ukweli wa sakata hili toka kwa aliyekuwa mbunge wa Musoma mjini Vincent Nyerere.Ikiwa mnaemuhita wakili msomi anaongea pumba kama hizo itakuwaje kwa nyumba asiejua haki zake?
Kwanini asisubili apigwe ngumi ili ampeleke mahakamani?
Aya tuma salam kwa watu..Sijui kama mlishaga stuka kua Lisu ni mpenda sifa hapa nchini...watu wengi hawajawahi kumgundua.kujifanya kujua kwingi ni njia anayoitumia kutaka sifa.sisi tunajua kuna wanasheria wazuli kuliko hata yeye na hua wapo kimya tu.
Sehem ya maswahib yalomkuta mhojiwa,subir kesho itatoka nyingineKatika mahojiano yoooote hicho ndo kitu cha muhimu alichoongelea mpaka kukipa 99pc ya uzi?
Huyu mbaba nasikia hachelewi kurusha ngumi, na ikikupata lazima uende chini
Mmoja wapo ni Fredrick Kihwelo. Huyu Wakili Msomi yuko vizuri sana.Sijui kama mlishaga stuka kua Lisu ni mpenda sifa hapa nchini...watu wengi hawajawahi kumgundua.kujifanya kujua kwingi ni njia anayoitumia kutaka sifa.sisi tunajua kuna wanasheria wazuli kuliko hata yeye na hua wapo kimya tu.
Haitusaidii aende jimboni kwake akawasaidie wanajimbo wake badala ya kutwa kushinda kwenye corridor za Kisutu kwa kutafuta kikiMbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu alinusurika kushambuliwa na aliyekuwa Mbunge wa Bunda, Steven Wassira katika moja ya vikao vya Bunge Mjini Dodoma.
View attachment 490430
Lissu aliyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na gazeti la Mwananchi kuhusu maisha yake binafsi na mambo mbalimbali ambayo amewahi kukutana nayo, ambapo alielezea pia kesi ambazo zinamkabili, maisha ya mahabusu, familia yake, burudani anazopenda pamoja na uhusiano wake na watu mbalimbali.
Mbunge huyo alisema Wassira alitaka kumpiga baada ya maneno makali aliyomtolea bungeni wakati akichangia hoja. Miongoni mwa maneno yaliyomkwaza Wassira ni baada ya Lissu kumwambia kuwa alijiunga upinzani akidhani kuna fedha na alipogundua hakuna ndipo akakimbia kurudi CCM.
“Alichukia sana. Sasa nimetoka pale naenda chooni, nikamkuta akiwa na wabunge wengine wa CCM. Aliponiona akaanza kunifuata akiniambia kuwa atanipiga,“ alisema Lissu
Lissu alisema kuwa alimuona Wassira akizidi kumkaribia ambapo alikuwa akielekea kwenye kona ili ampate vizuri. “Na akikasirika anakuwa mkubwa kweli, alafu mimi mdogo. Nikawa nawaangalia wale wabunge wengine wa CCM kama wataingilia kuamua, naona hakuna anayetaka kumzuia.”
Akisimulia tukio hilo Lissu alisema, Wassira alirusha ngumi ya kwanza akaikwepa, aliporusha ya pili ikamkosa huku Wassira anazidi kusogelea, akawaza kuwa akipiga hatua nyingine moja atampiga teke, wakati anaugulia maumivu yeye atakimbia. Lakini Wassira aligeuka na kuondoka zake.
Chanzo: Mtandaoni
Yule si ni Tyson?Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu alinusurika kushambuliwa na aliyekuwa Mbunge wa Bunda, Steven Wassira katika moja ya vikao vya Bunge Mjini Dodoma.
View attachment 490430
Lissu aliyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na gazeti la Mwananchi kuhusu maisha yake binafsi na mambo mbalimbali ambayo amewahi kukutana nayo, ambapo alielezea pia kesi ambazo zinamkabili, maisha ya mahabusu, familia yake, burudani anazopenda pamoja na uhusiano wake na watu mbalimbali.
Mbunge huyo alisema Wassira alitaka kumpiga baada ya maneno makali aliyomtolea bungeni wakati akichangia hoja. Miongoni mwa maneno yaliyomkwaza Wassira ni baada ya Lissu kumwambia kuwa alijiunga upinzani akidhani kuna fedha na alipogundua hakuna ndipo akakimbia kurudi CCM.
“Alichukia sana. Sasa nimetoka pale naenda chooni, nikamkuta akiwa na wabunge wengine wa CCM. Aliponiona akaanza kunifuata akiniambia kuwa atanipiga,“ alisema Lissu
Lissu alisema kuwa alimuona Wassira akizidi kumkaribia ambapo alikuwa akielekea kwenye kona ili ampate vizuri. “Na akikasirika anakuwa mkubwa kweli, alafu mimi mdogo. Nikawa nawaangalia wale wabunge wengine wa CCM kama wataingilia kuamua, naona hakuna anayetaka kumzuia.”
Akisimulia tukio hilo Lissu alisema, Wassira alirusha ngumi ya kwanza akaikwepa, aliporusha ya pili ikamkosa huku Wassira anazidi kusogelea, akawaza kuwa akipiga hatua nyingine moja atampiga teke, wakati anaugulia maumivu yeye atakimbia. Lakini Wassira aligeuka na kuondoka zake.
Chanzo: Mtandaoni
Lissu anaijua sheria,navanaitendea haki profession yake kwakupewa kesi mbalimbali nakuzimudu hadi kuzishinda,hao wanasheria wengine wazuri ambao wamekaa kimya,wakae kimya tu kama tasnia ya sheria inaenda kwakukaa kimya.Sijui kama mlishaga stuka kua Lisu ni mpenda sifa hapa nchini...watu wengi hawajawahi kumgundua.kujifanya kujua kwingi ni njia anayoitumia kutaka sifa.sisi tunajua kuna wanasheria wazuli kuliko hata yeye na hua wapo kimya tu.
Uko sawa kweli? Mwanasheria mzuri alafu unakaa kimya hutaki kujulikana wala hutaki sifa?Sijui kama mlishaga stuka kua Lisu ni mpenda sifa hapa nchini...watu wengi hawajawahi kumgundua.kujifanya kujua kwingi ni njia anayoitumia kutaka sifa.sisi tunajua kuna wanasheria wazuli kuliko hata yeye na hua wapo kimya tu.
Umesikia wananchi wake wakilalamika?au wewe ndio msemaji wako,lazima umeshikwa pabaya weweHaitusaidii aende jimboni kwake akawasaidie wanajimbo wake badala ya kutwa kushinda kwenye corridor za Kisutu kwa kutafuta kiki