Packaging una uzi wako mmoja unasema 2030 ni mwisho wa ccm sababu wajinga wote watakuwa wameisha.
Sasa kweli CCM ikitoka madarakani utafufua ule uzi kusema utabiri umetia
Ikitokea CCM ijatoka tutegemee utakuja na huu sasa yani upo kwote kwote
Anyway mimi nipo nawewe kwenye ule uzi 2030 ni...
Lakini siku inakuja hawa viongozi viburi na jeuri wasio taka kusikiliza sauti za wanachi kulia na kusaga meno.
Mithali 29:1
[1]Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo,
Atavunjika ghafula, wala hapati dawa.
Yani unakuta kiongozi mkubwa kabisa nchini anasimama akiongea mpaka unashika kichwa hivi uyu jamaa anatuchukuliaje sisi anaona yeye ni mwalimu wa chekechea anaweza kubwabwaja lolote tu akijua sisi ni watoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.