Recent content by allypipi

  1. allypipi

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kosi la kutajika la tajiri mkubwa bwenyeye Sir Jim wanashuka leo Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 My prediction Manchester united 3 Vs Ipswich town 1 Watapigwa sana wale Pigaaaa Uaaaaaa Chinjaaaa fyekaaaa malizaaaa
  2. allypipi

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    TBT miaka 15 iliyopita Wenger orphans tuliwafanya kitendo kibaya sana hawawezi kusaau maisha yao yote Tulipiga kama ngoma
  3. allypipi

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Tutapiga kama ngoma
  4. allypipi

    JamiiForums Tanzania Kwanini awamu ya sita imekuwa na migogoro mingi ya kiuongozi nafasi za juu kuanzia Ndugai, Majaliwa na sasa Nchimbi?

    Umewai wai kuona wapi akili kubwa ikakubali kuongozwa na akili ndogo ndio kilichopo hapo. Wote wanaona akili zao sio za kuongozwa na akili ndogo.
  5. allypipi

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Wakubwa I'm back again🙏 Ni wale wale vijana barobaro wa tajiri Sir Jim wanashuka leo Manchester united inacheza leo na dunia nzima inq furaha 😁😁😁 My prediction Hull City 1 VS Manchester united 3 Tutachapa Uaaaaa Malizaaaa Chinjaaaa Mamaeeee
  6. allypipi

    JamiiForums Tanzania Nimekwenda Ukonga leo nimeshindwa kumuona Lissu

    Sasa kama prince unafanyiwa hivi wengine sio ndio tunaweza kupigwa na vibao kabisa. Labda awakujua mkuu wewe ni nani sidhani kama heshima yako wanaweza kuivunjq kirahisi hivyo hata kama mambo ya nchi ayaeleweki.
  7. allypipi

    JamiiForums Tanzania Khalifa Said jina lako linajadiliwa muda huu mezani kwa yule ‘Msabato Asiyejulikana’

    Tangu wameanza kupoteza watu kelele zimewahi kuisha?
  8. allypipi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tuorodheshei hapa mikoa kondoo yenye watiifu ambayo ilikuwa imepoa 29 October

    Singida na Tanga sikusikia kitu yani naona kulikuwa shwali tu
  9. allypipi

    JamiiForums Tanzania Tetesi:-Endapo kama wewe upo fb na uliwahi kutoa maneno ya kichochezi jiandae!

    Kama ni ivyo kwenye awamu hii ya uyu mama watafunga vijana nchi nzima maana vijana wanao toa comment za kutukana serikali ni zaidi ya million. Sijui kama kuna jela ya kufunga watu wote hao.
  10. allypipi

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA yaja na operesheni “Tujenge Pamoja Tanzania ni Sisi", yazindua mchango kwa wanachama

    Na nusa harufu ya kufungiwa vyama vya siasa account zao mlengwa ni chadema ila watasema ajafungiwa peke ake
  11. allypipi

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanatamani watoto weupe ila hawawataki wanaume weupe

    Wanawake ni waongo kikawaida hawapendi wanaume weusi ila wanaogopa kuwa na wanaume weupe kwa sababu ya kuzidiwa mvuto. Kikawaida wanawake wakiongea kitu ili upate maana geuza kinyume chake.
  12. allypipi

    JamiiForums Tanzania Wakuu, mmeona hiki nilichokiona? Je, JamiiForums na X (Twitter) zimefunguliwa rasmi?

    kazi ya nani iyo kafanikisha
  13. allypipi

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ongereni sana mashabiki wa Arsenal kwa ubingwa wa 2025/2026
  14. allypipi

    JamiiForums Tanzania Video: Polisi Mtuache Tukiua Wanaomkosoa Samia-UVCCM

    Wangeongea chadema hapo kesho ungeona vyombo vya usalama wa taifa kesho wanavyo washa moto kuwa chadema inataka kuingiza nchi kwenye machafuko.
  15. allypipi

    JamiiForums Tanzania Hivi hakuna kifungo cha nje au conditional discharge? Kukutwa na nyama ya Nguruwe Pori ni kosa la kumfunga miaka 20?

    hafu mafisadi yasemwe tu yaone aibu.😁😁😁
Back
Top Bottom