Lakini siku inakuja hawa viongozi viburi na jeuri wasio taka kusikiliza sauti za wanachi kulia na kusaga meno.
Mithali 29:1
[1]Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo,
Atavunjika ghafula, wala hapati dawa.
Yani unakuta kiongozi mkubwa kabisa nchini anasimama akiongea mpaka unashika kichwa hivi uyu jamaa anatuchukuliaje sisi anaona yeye ni mwalimu wa chekechea anaweza kubwabwaja lolote tu akijua sisi ni watoto.
Poleni sana ndugu zangu wa shabiki wa Manchester wenye mpo nchi kwa kuzimiwa mtandao na vurugu za huko.
najua kuna wengine hata wasijue matokeo ya game yetu na forest yalitoka vipi.
mechi iliisha kwa sare ya 2_2
Poleni sana ndugu zangu wa shabiki wa Manchester wenye mpo nchi kwa kuzimiwa mtandao na vurugu za huko.
najua kuna wengine hata wasijue matokeo ya game yetu na forest yalitoka vipi.
mechi iliisha kwa sare ya 2_2
Poleni sana ndugu zangu wa shabiki wa Manchester wenye mpo nchi kwa kuzimiwa mtandao na vurugu za huko.
najua kuna wengine hata wasijue matokeo ya game yetu na forest yalitoka vipi.
mechi iliisha kwa sare ya 2_2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.