Recent content by allypipi

  1. allypipi

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Full meaning of ARTETA A: Arsenal , R: Running T: To , E: End , T: Trophyless , A: Again 😂😅😁
  2. allypipi

    Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    ilo ni chawa utamaliza tu nguvu zako bure hayo yanakubali kila kitu.
  3. allypipi

    Rais Samia Suluhu Hassan asafiri kuelekea UAE

    lucas msana wao
  4. allypipi

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Fans wa arsenyani wakipokea zawadi ya bao 3 kwa uchungu.
  5. allypipi

    Kufanya Kosa si Kosa, kosa Kurudia Kosa!, Kama Kosa lina consequences, ukirudia, the consequences are the same!. Je Tujiandae for The Consequences au?

    Lakini siku inakuja hawa viongozi viburi na jeuri wasio taka kusikiliza sauti za wanachi kulia na kusaga meno. Mithali 29:1 ‎[1]Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, ‎Atavunjika ghafula, wala hapati dawa.
  6. allypipi

    Gen Z kizazi cha hovyo kabisa kutokea hapa nchini. Mzazi analipa karo alafu wanajibu lugha ya matusi

    Uzuri amna sehemu watoto wanaomba muwazae ni shobo zenu tu.
  7. allypipi

    Ukweli: Siasa za Uongo zimefika mwisho hakuna siri kwa kizazi hiki

    Yani unakuta kiongozi mkubwa kabisa nchini anasimama akiongea mpaka unashika kichwa hivi uyu jamaa anatuchukuliaje sisi anaona yeye ni mwalimu wa chekechea anaweza kubwabwaja lolote tu akijua sisi ni watoto.
  8. allypipi

    Vijana nyinyi ndio mabadiliko yenyewe

    Mkuu umeremba shingapi huko lumumba maana hukuwa hivi wewe unaweza ikana hata Dini yako kisa buku saba.
  9. allypipi

    Vijana nyinyi ndio mabadiliko yenyewe

    Hivi Mkuu uislam ni Dini ya haki au Amani?
  10. allypipi

    Bila VPN JF inashindwa kufunguka. Je, imefungiwa tena?

    Naona serikali imeona mbona tumezoea wakaona sio kesi acha tuwaifadhi tena kabatini😁😁
  11. allypipi

    CHAUMMA imefanikiwa kisiasa kwa zaidi ya 100%

    Jasusi uchwala kazini Ila mkuu kuwa hata na aibu kidogo.
  12. allypipi

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Poleni sana ndugu zangu wa shabiki wa Manchester wenye mpo nchi kwa kuzimiwa mtandao na vurugu za huko. najua kuna wengine hata wasijue matokeo ya game yetu na forest yalitoka vipi. mechi iliisha kwa sare ya 2_2
  13. allypipi

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Poleni sana ndugu zangu wa shabiki wa Manchester wenye mpo nchi kwa kuzimiwa mtandao na vurugu za huko. najua kuna wengine hata wasijue matokeo ya game yetu na forest yalitoka vipi. mechi iliisha kwa sare ya 2_2
  14. allypipi

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Poleni sana ndugu zangu wa shabiki wa Manchester wenye mpo nchi kwa kuzimiwa mtandao na vurugu za huko. najua kuna wengine hata wasijue matokeo ya game yetu na forest yalitoka vipi. mechi iliisha kwa sare ya 2_2
Back
Top Bottom