Kama ni ivyo kwenye awamu hii ya uyu mama watafunga vijana nchi nzima maana vijana wanao toa comment za kutukana serikali ni zaidi ya million.
Sijui kama kuna jela ya kufunga watu wote hao.
Wanawake ni waongo kikawaida hawapendi wanaume weusi ila wanaogopa kuwa na wanaume weupe kwa sababu ya kuzidiwa mvuto.
Kikawaida wanawake wakiongea kitu ili upate maana geuza kinyume chake.
Packaging una uzi wako mmoja unasema 2030 ni mwisho wa ccm sababu wajinga wote watakuwa wameisha.
Sasa kweli CCM ikitoka madarakani utafufua ule uzi kusema utabiri umetia
Ikitokea CCM ijatoka tutegemee utakuja na huu sasa yani upo kwote kwote
Anyway mimi nipo nawewe kwenye ule uzi 2030 ni...
Lakini siku inakuja hawa viongozi viburi na jeuri wasio taka kusikiliza sauti za wanachi kulia na kusaga meno.
Mithali 29:1
[1]Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo,
Atavunjika ghafula, wala hapati dawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.