Recent content by allypipi

  1. allypipi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tuorodheshei hapa mikoa kondoo yenye watiifu ambayo ilikuwa imepoa 29 October

    Singida na Tanga sikusikia kitu yani naona kulikuwa shwali tu
  2. allypipi

    JamiiForums Tanzania Tetesi:-Endapo kama wewe upo fb na uliwahi kutoa maneno ya kichochezi jiandae!

    Kama ni ivyo kwenye awamu hii ya uyu mama watafunga vijana nchi nzima maana vijana wanao toa comment za kutukana serikali ni zaidi ya million. Sijui kama kuna jela ya kufunga watu wote hao.
  3. allypipi

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA yaja na operesheni “Tujenge Pamoja Tanzania ni Sisi", yazindua mchango kwa wanachama

    Na nusa harufu ya kufungiwa vyama vya siasa account zao mlengwa ni chadema ila watasema ajafungiwa peke ake
  4. allypipi

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanatamani watoto weupe ila hawawataki wanaume weupe

    Wanawake ni waongo kikawaida hawapendi wanaume weusi ila wanaogopa kuwa na wanaume weupe kwa sababu ya kuzidiwa mvuto. Kikawaida wanawake wakiongea kitu ili upate maana geuza kinyume chake.
  5. allypipi

    JamiiForums Tanzania Wakuu, mmeona hiki nilichokiona? Je, JamiiForums na X (Twitter) zimefunguliwa rasmi?

    kazi ya nani iyo kafanikisha
  6. allypipi

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ongereni sana mashabiki wa Arsenal kwa ubingwa wa 2025/2026
  7. allypipi

    JamiiForums Tanzania Video: Polisi Mtuache Tukiua Wanaomkosoa Samia-UVCCM

    Wangeongea chadema hapo kesho ungeona vyombo vya usalama wa taifa kesho wanavyo washa moto kuwa chadema inataka kuingiza nchi kwenye machafuko.
  8. allypipi

    JamiiForums Tanzania Hivi hakuna kifungo cha nje au conditional discharge? Kukutwa na nyama ya Nguruwe Pori ni kosa la kumfunga miaka 20?

    hafu mafisadi yasemwe tu yaone aibu.😁😁😁
  9. allypipi

    JamiiForums Tanzania Trends Reading: Japo Rais wa 2030 Namjua, Simtaji ili Kumlinda!. Be The First to Know Good News Kawe-2030, MB.ni Mwanamke!, Kawe Itapaa kwa Maendeleo!

    Packaging una uzi wako mmoja unasema 2030 ni mwisho wa ccm sababu wajinga wote watakuwa wameisha. Sasa kweli CCM ikitoka madarakani utafufua ule uzi kusema utabiri umetia Ikitokea CCM ijatoka tutegemee utakuja na huu sasa yani upo kwote kwote Anyway mimi nipo nawewe kwenye ule uzi 2030 ni...
  10. allypipi

    JamiiForums Tanzania Pasi hii umedumu nayo kwa muda gani?

    Mm na canon ninayo toka mwaka 2010
  11. allypipi

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Full meaning of ARTETA A: Arsenal , R: Running T: To , E: End , T: Trophyless , A: Again 😂😅😁
  12. allypipi

    JamiiForums Tanzania Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    ilo ni chawa utamaliza tu nguvu zako bure hayo yanakubali kila kitu.
  13. allypipi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan asafiri kuelekea UAE

    lucas msana wao
  14. allypipi

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Fans wa arsenyani wakipokea zawadi ya bao 3 kwa uchungu.
  15. allypipi

    JamiiForums Tanzania Kufanya Kosa si Kosa, kosa Kurudia Kosa!, Kama Kosa lina consequences, ukirudia, the consequences are the same!. Je Tujiandae for The Consequences au?

    Lakini siku inakuja hawa viongozi viburi na jeuri wasio taka kusikiliza sauti za wanachi kulia na kusaga meno. Mithali 29:1 ‎[1]Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, ‎Atavunjika ghafula, wala hapati dawa.
Back
Top Bottom