Recent content by allypipi

  1. allypipi

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ongereni sana mashabiki wa Arsenal kwa ubingwa wa 2025/2026
  2. allypipi

    JamiiForums Tanzania Video: Polisi Mtuache Tukiua Wanaomkosoa Samia-UVCCM

    Wangeongea chadema hapo kesho ungeona vyombo vya usalama wa taifa kesho wanavyo washa moto kuwa chadema inataka kuingiza nchi kwenye machafuko.
  3. allypipi

    JamiiForums Tanzania Hivi hakuna kifungo cha nje au conditional discharge? Kukutwa na nyama ya Nguruwe Pori ni kosa la kumfunga miaka 20?

    hafu mafisadi yasemwe tu yaone aibu.😁😁😁
  4. allypipi

    JamiiForums Tanzania Trends Reading: Japo Rais wa 2030 Namjua, Simtaji ili Kumlinda!. Be The First to Know Good News Kawe-2030, MB.ni Mwanamke!, Kawe Itapaa kwa Maendeleo!

    Packaging una uzi wako mmoja unasema 2030 ni mwisho wa ccm sababu wajinga wote watakuwa wameisha. Sasa kweli CCM ikitoka madarakani utafufua ule uzi kusema utabiri umetia Ikitokea CCM ijatoka tutegemee utakuja na huu sasa yani upo kwote kwote Anyway mimi nipo nawewe kwenye ule uzi 2030 ni...
  5. allypipi

    JamiiForums Tanzania Pasi hii umedumu nayo kwa muda gani?

    Mm na canon ninayo toka mwaka 2010
  6. allypipi

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Full meaning of ARTETA A: Arsenal , R: Running T: To , E: End , T: Trophyless , A: Again 😂😅😁
  7. allypipi

    JamiiForums Tanzania Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    ilo ni chawa utamaliza tu nguvu zako bure hayo yanakubali kila kitu.
  8. allypipi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan asafiri kuelekea UAE

    lucas msana wao
  9. allypipi

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Fans wa arsenyani wakipokea zawadi ya bao 3 kwa uchungu.
  10. allypipi

    JamiiForums Tanzania Kufanya Kosa si Kosa, kosa Kurudia Kosa!, Kama Kosa lina consequences, ukirudia, the consequences are the same!. Je Tujiandae for The Consequences au?

    Lakini siku inakuja hawa viongozi viburi na jeuri wasio taka kusikiliza sauti za wanachi kulia na kusaga meno. Mithali 29:1 ‎[1]Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, ‎Atavunjika ghafula, wala hapati dawa.
  11. allypipi

    JamiiForums Tanzania Gen Z kizazi cha hovyo kabisa kutokea hapa nchini. Mzazi analipa karo alafu wanajibu lugha ya matusi

    Uzuri amna sehemu watoto wanaomba muwazae ni shobo zenu tu.
  12. allypipi

    JamiiForums Tanzania Ukweli: Siasa za Uongo zimefika mwisho hakuna siri kwa kizazi hiki

    Yani unakuta kiongozi mkubwa kabisa nchini anasimama akiongea mpaka unashika kichwa hivi uyu jamaa anatuchukuliaje sisi anaona yeye ni mwalimu wa chekechea anaweza kubwabwaja lolote tu akijua sisi ni watoto.
  13. allypipi

    JamiiForums Tanzania Vijana nyinyi ndio mabadiliko yenyewe

    Mkuu umeremba shingapi huko lumumba maana hukuwa hivi wewe unaweza ikana hata Dini yako kisa buku saba.
  14. allypipi

    JamiiForums Tanzania Vijana nyinyi ndio mabadiliko yenyewe

    Hivi Mkuu uislam ni Dini ya haki au Amani?
  15. allypipi

    JamiiForums Tanzania Bila VPN JF inashindwa kufunguka. Je, imefungiwa tena?

    Naona serikali imeona mbona tumezoea wakaona sio kesi acha tuwaifadhi tena kabatini😁😁
Back
Top Bottom