Recent content by Allig

  1. Allig

    Aliyemtungia Mungu nickname ya Jah ni nani?

    Jah ni jina la Mungu anaeabudiwa na Rastafarians. Wao wanaamini Haile Selassie wa kwanza wa Ethiopia ni messiah wa pili aliyetumwa baada ya Yesu. Na jina Jah wamelitohoa kwenye biblia, yani Yahwe. (Zab 68:4). Lakini kwa sababu wametoa jina hilo kwenye biblia haimaanishi wanamwabudu Mungu...
  2. Allig

    Kwanini wanawake wako very demanding sana kwenye mahusiano?

    Siku zote a man will chase after a woman. Ndivyo ilivyo toka enzi za Samsoni na Delilah na itaendelea kuwa hivyo! So get used to it!
  3. Allig

    Am I falling in love or is just a crush?

    Men are very straight hawana longolongo. Kama angekua hata amekutamani tu ungejua immediately coz wanajua kusoma kama girl anaonyesha ishara ya kuvutiwa. So just walk away. I believe you dont have to work that hard to find a true love. Mungu akimleta utamjua tu, its just obvious. Keep praying
  4. Allig

    Hii ndoa inaanza kuwa ngumu kwangu, nawaza kufanya hivi

    Kwanza kabisa kaa nae siku unayoona mnaskilizana kisha umweleze matatizo yake yote na umwambie ambacho umekua ukifkiria. Mwambie jinsi anavyokuumiza anavyofanya. Na umwambie unamjali na kumpenda na watoto ndio maana umeona uongee nae kwanza kama anaweza kuchange Mpe muda wa kujikagua na...
  5. Allig

    Hivi kula ugali na wali tu kila siku vinaweza kusababisha uongezeke uzito?

    Nachojua cha muhimu pia ni portion control. Kama unakula wali+ugali kila siku na hufanyi kazi ngum lazima uongezeke. Kwa sababu baada ya digestion kuna excess ya wanga inabaki haitumiki hivyo inabadilishwa kua sukari na mafuta. Ningekushauri control portion ya vyakula. Kula wali +ugali kidogo...
  6. Allig

    Kwanini watu wanaamini uwepo wa Mungu mpaka wakati huu??

    Kama huamini Mungu hayupo hutakiwi kupanick, relax, wewe si free thinker? acha wenye kuamini tuhangaike nae.
  7. Allig

    Wale Wanawake Wanaoringia Shepu

    Sema wenye shepu wana akili lakini hua wanajisahau hawazitumii kwa sababu wanatumia shepu kulengea.. [emoji1] sasa ona atakavoumia kama wanaume wote wakiwa kama wewe
  8. Allig

    Mtambue mtumishi wa Mungu wa kweli

    Kwa kweli sina uhakika sana na dini nyingine. Ndio maana nikatoa good guess ili niweze kuendelea kuongelea mada yake, kwa sababu nimeshuhudia zaidi watumishi waongo kwenye dini ya kikristo
  9. Allig

    Mtambue mtumishi wa Mungu wa kweli

    Sahihi. Kwa sababu naamini unazungumzia watumishi wa kikristo, nadhani inabidi liangaliwe kwa upana wake. Mtumishi kwanza amjue Yesu na kumwamini. Hayo mengine yooote yanajirekebisha. Kwa sababu Yesu akishaingia ndani yake anamfanya kiumbe kipya, basi anakua na upendo, heshima, utii, na...
  10. Allig

    Mwakasege namkubali ila habari za kujifanya kaenda mbinguni na kurudi sitakubaliana na wewe

    Upo sahihi kutoa opinion yako. Lakini kama ni kweli au uongo yeye ndio anajua na ataenda kujibu mwenyewe siku ikifika. Cha muhimu kama hua unamskiliza ni kuchkua yale mafundisho mazuri yenye reference ya kwenye biblia na kuyafanyia kazi. Kama mkristo ni kitu kimoja tu ndio kinatuguide hapa...
  11. Allig

    Nani huwafunza wasichana kujisafisha vizuri? Wengi UTI inawasumbua

    Na pia among other things , kua makini unapotumia vyoo vya public. Hasa makazini. Ikibidi chutama badala ya kuchuchumaa ili uwe mbali na tundu la choo Pia kama ni haja kubwa weka toilet pepa ya kutosha. Kama ni choo cha kukaa tandaza toilet pepa juu. Tumia maji mengi kujisafisha na kumwaga...
  12. Allig

    Haya pingeni tena na huyu kuwa siyo MZURI!!

    Kama hapigi zoezi na kula healthy diabetes, bp zitamhusu soon. Japo ni mzuri
  13. Allig

    Nmekuja kuamka Siku ya Pili nimevaa boxer tu. akina dada na wanaume wenzangu chondechonde

    Majina ya wanawake hua yanabadilika in matter of seconds. Kutoka dada mmoja mzuri sana hadi mlupo hahaha, sku nyingine ujifunze kama ni kweli
  14. Allig

    Wanawake Sometimes

    Ulivoandika ni kama hili jambo la wanawake kuwafanya wanaume ATM limeanza mwaka huu[emoji4]
Back
Top Bottom