Weekend hii nahitaji Mtoto kama huyu nikajipumzishe nae...
Apunguze minyama hiyo.Hakika ni mzuri.
Kwangu uzuri wako ni Tabia...Vingine extra....!!Wanaume mnanichekesha. Uzuri wa mwanamke ni nini hasa? Sura? Mapaja na miguu minene? Nataka nijue ili nijipime.
Wewe naona uko tofauti. Wenzako wanatazama vitu tofauti kabisa kupima uzuri wa mwanamke.Kwangu uzuri wako ni Tabia...Vingine extra....!!
Ama kitambi, alafu ngozi yake iko tepetepe mno, ngozi haiko firm bali mdebwedo!
Uzuri wa mwanamke tako tu, mengine ni urembo tu..Wanaume mnanichekesha. Uzuri wa mwanamke ni nini hasa? Sura? Mapaja na miguu minene? Nataka nijue ili nijipime.