Labda niseme kitu omba mungu ajali isitokee maana hata pangewekwa magodoro ajali ni ajali tuu. We hao wasikudanganye mbona akina paul walker walikufa kwenye ajali pia
Kwa uloxhoandika kuhisu mo salah inaonesha kuukosea mpira adabu watu kama mo salah nawakumbuka ni wawili au watatu.
Alikuwepo
ruud van neestelroy
Philipe inzaghi
Javier hernandez
Na sasa tunamshuhudia salah
Hawa ni binadam waliokuwa wanajua njia za mpira kupita so usiseme salah anachojua ni...
Niliwahi kusoma sehemu kuhusu siasa ya vyama vingi TANZANIA. Kuwa nchini watu hawakukubali mfumo wa vyama vingi. Inasemekana wananchi wa kipindi hicho wqlipiga kura kupinga mfumo wa vyama vingi lakini baadae walishauriwa wacha viwepo lakini viwe kama vipo tuu nyuma ya pazia kusudi tusije...
Nia tunayo,
Sababu tunayo,
Na uwezo tunao.
Ni lazima nduli apigwe.
Hakutumwa ayakanyage. Kasome historia vizuri ikesha urudi hapa
Sent from my SM-G570M using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.