Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 338
- 891
Unaambiwa Klabu ambazo ni kubwa na bingwa tena katika Ligi zinafuatiliwa zaidi Duniani zote zimepoteza mechi za ufunguzi wa msimu dhidi ya Klabu ndogo.
PSG imepoteza dhidi ya As Monaco(Monaco ndogo kwa PSG)✓
Bayern Munich akafa dhidi ya RB Leipzig tena kwa bao 3-0(RB Leipzig ni ndogo kwa Bayern Munich)✓
Manchester City wakapoteza dhidi ya Arsenal kwa penati.(Arsenal ni ndogo kwa Man City)✓
Yanga imepoteza dhidi ya Simba kwa penati(Vipi Simba ni ndogo kwa Yanga)?
PSG imepoteza dhidi ya As Monaco(Monaco ndogo kwa PSG)✓
Bayern Munich akafa dhidi ya RB Leipzig tena kwa bao 3-0(RB Leipzig ni ndogo kwa Bayern Munich)✓
Manchester City wakapoteza dhidi ya Arsenal kwa penati.(Arsenal ni ndogo kwa Man City)✓
Yanga imepoteza dhidi ya Simba kwa penati(Vipi Simba ni ndogo kwa Yanga)?