Recent content by alipofika

  1. A

    Uhakiki wa Vyeti: Bandarini nako kwawaka moto

    N kweli mkuu..inaonekana hupo vizur sana kweny recruitment
  2. A

    Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

    Alitumika sana na Madrid kweny UEFA..ilibid apumzike huyu sema kw sababu n key player ndo hvyo hamna namna inabid acheze tu
  3. A

    Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

    Yaan wameniudhi sana..ngoja nifunge dstv niwatie hasara tu
  4. A

    Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

    Soon..nitajiunga hawa wamenitia hasira sana
  5. A

    Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

    Wakuu hawa Azam tv ndo wamehamua kutuchezea akil hiv...yaan nmekaa hapa kuanzia saa nne naangalia zbc 2 hamna cha euro wala nin
  6. A

    Dada wa kazi akimweleza mume wangu siri hii, sina ndoa tena

    Una uwezo mkubwa wa kufikiria jambo
  7. A

    Wanawake wanatiwa Moyo 'kutongoza'

    In recruitment process it is called positive discrimination and the principle is highly emphasized even by ILO convections.
  8. A

    Mshahara wa afisa maendeleo ya jamii,na mtendaji

    Mkuu bado thread yako haijakaa vzr...labda kama ulkuwa unamaanisha hiv Afisa maendeleo ya jamii( community develoent officer) Afisa mtendaji kata( ward executive officer) au Afisa mtendaji wa kijiji( Village executive officer) na kama ulikuwa unamaanisha kimojawapo hapo juu bas lazma tujue level...
  9. A

    Bei ya carina n sh.ngap?

    Poa mkuu ntakutafuta
  10. A

    Bei ya carina n sh.ngap?

    Mkuu hyo n ya mwaka gani na ina cc ngap?
  11. A

    Bei ya carina n sh.ngap?

    Ahsante sana kw ushaur wako...ubarikiwe
  12. A

    Bei ya carina n sh.ngap?

    Kama heading inavyojieleza..naomba kuuliza carina used naweza kupata kw shlng ngap? Mana naendelea kujichanga changa mda c mrefu nahitaji kumilik hii gar...Ahsanten..
  13. A

    Kaka hana uwezo wa kupata mtoto, je naweza kumsaidia kumpa mkewe ujauzito?

    Haa haa nmeiona hii drama..yule mwanamke mbona kama alkuwa bikra mana kpnd cha mwanzo alkuwa analia sana....mwshowe jamaa akawa anakula mzgo tu
  14. A

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Thanks Bastian...3 points taken
  15. A

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    De gea is my best man in zs match!!
Back
Top Bottom