Mshahara wa afisa maendeleo ya jamii,na mtendaji

Mshahara wa afisa maendeleo ya jamii,na mtendaji

Yusomwasha

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
2,092
Reaction score
844
Wakuu napenda kuulizia mshahara wa afisa mtendaji maendeleo wa jamii kwa levo ya kijiji au kata.ndo ajira yangu ijayo
 
Mkuu bado thread yako haijakaa vzr...labda kama ulkuwa unamaanisha hiv
Afisa maendeleo ya jamii( community develoent officer)
Afisa mtendaji kata( ward executive officer) au
Afisa mtendaji wa kijiji( Village executive officer) na kama ulikuwa unamaanisha kimojawapo hapo juu bas lazma tujue level of u ar education coz salary scale differ wth the level of education
 
Kwa waliosoma certificate ya maendeleo ya jamii
 
Mwenye cheti/certificate mshahara kwa mwezi ni sh ngp?
 
Kumbe mkuu wewe ni msomi wa level ya cheti,hongera sana
 
Mshahara kwa mwezi ni sh ngp kwa alyemaliza cheti?
 
Back
Top Bottom