Kwan serikal ya znzr ni ya kidini, ya kenya ni ya kidini, Uganda, uk nk Mbona wana mahakama ya kaadhi !kudai ni haki yetu hata hao wasijitambua akina nyinyi daini lenu c kupinga kibubusa huo ni ukiritimba!
Haaahaaa kwl usilolijua litakusumbua! Naona hapa wengi wanasumbuka tu kufikiria lile jambo ambalo ni zito kutendeka! Ivi kwa kampeni gani, ubora gn, ushawishi gn walionao ukawa kuwashinda ccm!
Ukawa bado sana tena sana tu! Kuchukuwa madaraka
Hahaa waambieni wajipange sio kukurupuka! Man
Hawa wakir kumbe ni wajinga kupindukia Yaan hawafai kabisa wanapinga kitu ambacho hawakijui hata kuelezea hata mstari mmoja et kutapuunzwa dini za wengine aaaaa wp! Nchi nyingi kuna mahakama ya kaadhi Mbona hatujasikia haya munayolalamika jueni kwanza nn mahakama ya kaadhi kisha ndio ulalamike...
hapa tunabwabwaja tu ila kiufupi ni kwamba serikali ikitaka lake ipe ucpoipa bc itachukua kwa mkono wako!
mfano znzr ina watu wengi ambao hawataki kabisa kusukia ama kutaja muungano yaan wanauchukia kushinda mavi ya nguruwe
ila kiukweli wanaambulia kipigo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.