Recent content by Alfred Shija

  1. Alfred Shija

    Wanasheria wamgomea Tundu Lissu

    Mleta Uzi rudi shule ulizosoma ukadai ada yako. Nani kakudanganya kuwa mwalimu anafukuza mwanafunzi? Wanaofukuza wanafunzi ni kamati/bodi ya shule Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Alfred Shija

    Zitto: Sasa mlitaka Lissu akahoji matumizi mabaya ya rais Chooni, Shimoni au chumbani au kazi ya Mbunge ni nini?

    Ajabu ni kwamba ukiihoji serlkali inayosema inaongoza nchi kidemokrasia unakuwa mkosefu. Haya, Mungu anawaona Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Alfred Shija

    Kesi ya Wakili Fatuma Karume dhidi ya afisa wa polisi imefikia wapi?

    Wapayukaji, wanyanyasaji wa raia, matapeli wakubwa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Alfred Shija

    Kutana na muuza maji ya madumu anayetengeneza pesa nyingi kwa mwezi zaidi ya mtu mwenye shahada

    Hahahahhahah. Nimependa hii, eti hana kiwanja wala nini amemjaza ujinga Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Alfred Shija

    Anthony Diallo unamjua huyu?

    Sio kwamba Mimi Dr Diallo simjibu ila nasubili amalizie na swali jingine ili nimjibu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Alfred Shija

    Ushauri: Nikifanya mapenzi presha hupanda sana, nini tatazo?

    Sasa wewe unayeomba msaada wa ushauri, wewe ni mwanamme au mwanamke? Mi sijakuelewa vizr Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Alfred Shija

    Askofu Bagonza akosoa kauli ya 'Aliyepewa mimba asirudi', ahoji makosa ya viongozi yangekuwa mimba, wangekuwa na ngapi?

    Watu kwa kujipendekeza kwa mfalme hamjambo Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Alfred Shija

    Tanzia: Johanes Kanani apata ajali na kufariki

    RIP. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Alfred Shija

    Mbinu ya Kenyatta, Ruto na IEBC haijapata kutokea tokea dunia iundwe!

    Kumbe Tanzania wizi huo haufanyiki? Aisee utakuwa umechelewa kujua aisee Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Alfred Shija

    Peter Kibatala: Mara chache sana Wakili humfuata Mteja, na ni mara chache sana Mteja huenda kwa Mawakili bila kuwafahamu

    Manji atakuwa amepata ushauri wa kiccm kumkataa kibatala. Ushauri huo ndo kufungwa na kufilisiwa kwake Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Alfred Shija

    Ushauri: Nataka nikope 10millions niache kazi serikalini, ili nijiajiri

    Nadiriki kusema kuwa MTU anayesema kuwa mtaji wa sh mil.10 hautoshi kuanzisha biashara. Kwa mawazo yake sijui ni sh ngapi zitatosha kuanzisha biashara. Mi nilianzisha biashara kwa sh laki 3, hadi sasa biashara yangu ina kama bidhaa za sh laki 8. Mdogomdogo nakimbiza Sent using Jamii Forums...
  12. Alfred Shija

    EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

    Mi Niko hapa kaunti ya kitale. Nimepiga kura yangu kwa yule mwenye kumupenda Mimi. Uchaguzi iko na watu wengi sana Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Alfred Shija

    Msaada: Namna ya kuandikishiana mkataba wa bodaboda

    Hongera. Kukatishana tamaa sio vzr. Tusaidianeni kuinuana kiuchumi Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Alfred Shija

    Hii post ya OMMY DIMPOZ haileti picha nzuri kwa jamii !!!

    Jamani mi naona uelewa wangu hauendani na kasi ya wana jf. Mi naona kaweka mafuta pamoja na simu. Ubaya hapo uko wapi kutangaza biashara au there is something behind? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom