Napata shida kidogo kukuelewa mleta maada.. Au mm ndo uelewa wangu mdogo. Kwenye hyo speech kaongelea Foundation course ndo sio sifa ya kujiunga na chuo kikuu..Diploma inahusiana vipi na foundation course?. Sifa ya mtu kujiunga na chuo kikuu ni awe amefaulu form 6 au awe na GPA ya 3.0 kwa...
Sawa wote ni binadamu but tofauti yao magu ni rais na seif ni kiongoz wa cuf. Anachofanya magu kinatuhusu watanzania lazima tukiongee. Anachofanya seif kinawahusu wana cuf sio lazima tukiongee.
Natafakari sijaelewa mfano wa Dr slaa.."Ukichukua kinyesi chooni na kukihamishia chumbani, chumba kitageuka kuwa choo na hakifai kuishi mana kina harufu kali."..Je kwa mawazo ya Dr ni bora tuhamie kuishi chooni ambako ndo sehemu maalum ya kinyesi na kitaendelea kushushwa kule kila siku au...
Jaman nimehamia arusha hivi karibuni hvyo basi naomba kujulishwa kwa mtu ambae ametumia milani cable pamoja na azam tv kipi ni bora. Ntashukuru kwa msaada kabla sijaamua nachagua nn.
Muundo wa serikal 3 that means baada ya hii katba kuandikwa Tanzania bara inabid tuanze mchakato mwingine wa kuandika katba ya Tanzania bara kama zanzbar walivyo na katiba yao? Ebu niweken sawa hapa wanajamvi
katika kudahiliwa chuo kna category 3.
1. direct entry-waliomba kwa matokeo ya frm 6.
2.equivalent- waliomba kwa matokeo ya dip au any othr qualifications
3. mature age entry.
haijarish umeomba kupitia wap hzo ndo categories.
km uliomba kwa matokeo ya form 6 u belong to direct entry.cjui km...
we ndo umetoa comment bila kutafakari.ni progress ipi cuf yameifanya bara km co kuporomoka kisiasa.nachowashauri cuf wang'oe nanga bara wabaki zanzbar huku hawapawez
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.