Naomba muongozo watu wa sheria, Hivi bunge likimuazimia mh. Makonda linaweza kumfanyaje endapo litampata na hatia ya linalomshutumu?? Maana naona kama Mh. Makonda yupo mbali nao na kumuwajibisha ni mbali au hata hawamgusi
Naombeni msaada ili nielewe tu.
Mimi ni mwalim wa shule ya sekondari wilayani Malinyi mkoani morogoro nahitaji mwalimu wa kubadilishana nae kituo alie TABORA AU SINGIDA
Tuwasiliane 0719051265
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.