Ninadogo kamaliza form 4 kapata 0 wadau nataka kumrejesha form 2 yeye anahitaji form 3 mnaweza nisaidia ushauri wenu?? Nini nifany3
Anatakje form threeNinadogo kamaliza form 4 kapata 0 wadau nataka kumrejesha form 2 yeye anahitaji form 3 mnaweza nisaidia ushauri wenu?? Nini nifany3
namba hawez kupata kwa utaratibu wa sasa maana zinatumika TSM9 za shule za shule ya msing lbda atumie jina la mtu aliyeacha shule.Aanze form 2 apate namba mpya
namshauri akaanze form two kama alikuwa anasoma masomo yote (art +science) ; BUT kama hali -opt( aliacha sayansi arudi form one sababu kwa muji wa waziri wa elimu Prof.j ndalichako hakuna kuchagua masomo kwa watakaoingia form forur kuanzia mwakani ( ambao wapo form 3 mwaka huu)Ninadogo kamaliza form 4 kapata 0 wadau nataka kumrejesha form 2 yeye anahitaji form 3 mnaweza nisaidia ushauri wenu?? Nini nifany3
Veta ndio.wanachukua iyo ziro?mpeleke Veta
Kwani ujui au ubishi tu Veta wanachukua Darasa la SabaVeta ndio.wanachukua iyo ziro?