Huu msemo nimeanza kuusikia miaka mingi sanaaa, na sikuelewa uzito wake.
Unang'ata kidole, huku unajiuliza maswali zaidi ya 1000 kwa wakati mmoja. Kwanini zaidi ya 500, imekuwaje, kivipi, why me, naota au ni kweli? Ni ndoto hiii, noo sio ndoto ni kweli. Imetokea kweli? Machozi yanakutoka...