Huu uzi mpaka kufikia january naamini mods mtakuwa mshaustick,maana Foxes tunaelekea kunyofoa mtu hapo juu,
Kati ya Arsenal,Spurs,Man utd
tupo hapa mkuuHappycuit,
Haya wale mashabiki nguli wa hili chama la wana tunakutana hapa,mwaka huu tunachukua tena ligi, watake wasitake.
Karibu chama la wana achana na nyumbu
Tulia mkuu,sisi tumekuha kufanya mapinduzi ya kweli hapo EPL maana nataka tuweke rekodi ya kuchukua hili kombe mara nyingi zaidi kuliko Liverpool...hahahahahahahahahah maana wao mpaka sasa hawana hata 1Hehe.. Hatimaye Leicester imepata Special Thread yake. Tunashukuru umetuongezea kijiwe cha kupiga soga hapa JF. Ila wewe mfungua huu nakusihi kuwa na adabu kwa wakubwa zako. Nimekuta umeandika maneno ya kejeli kwenye jukwaa la Chelsea au ndio njia uliyoamua kuli promote hili jukwaa?
Pambavu
Hehe.. Hatimaye Leicester imepata Special Thread yake. Tunashukuru umetuongezea kijiwe cha kupiga soga hapa JF. Ila wewe mfungua huu nakusihi kuwa na adabu kwa wakubwa zako. Nimekuta umeandika maneno ya kejeli kwenye jukwaa la Chelsea au ndio njia uliyoamua kuli promote hili jukwaa?
Pambavu
Mkuu umetoka timu gani kati ya arsenal au man u???
Samahani lakini
Gunnerz 4 real,
refa amekodiwa na wangese wa manure urinated anachezesha mpira kama mazoezi,
arsenal ushindi leo lazima
Pogba atatufaa sana
Kama ingwzekana tuuze hazard tununue ox chamberlain pia fabrgas kachoka nafikiri ramsey angetusaidia sana
Tumerudi wenyewe ikiwezekana waisticky hapo juuMkuu mbona nyuzi mbili mbili????Kuna mdau kashaandika hii mambo tangu 2015.
Leicester City, Special Thread
Hapa tutakuwa tunazungumza kuhusu timu tishio kwa sasa hivi Uingereza inayocheza ligi kuu ya England Sio nyingine ni Leicester City Una chochote kuhusu timu hii Tafadhali tupia hapa Na ninaomba Moderator @jf robot Paw BAK watusaidie thread hii iwe sticky au special thread Nawasilishawww.jamiiforums.com