First year washaanza kukinukisha mitandaoni

First year washaanza kukinukisha mitandaoni

daaah!! hata mm ningefanya kama hivyo sema tu enzi naingia first year Facebook ilishanitoka katika akili yangu kama sehemu ya burudani!! By the way kupata BOOM raha jaman halafu usiwazie maswala ya kurejesha mkopo maana ajira zenyewe za kugombania kama daladala za mbagala!! cha msingi ukipata we tumia kadri uwezavyo maana ndo mshahara wako wa mateso kutoka vidudu mpaka form 6!! mtakao pata furahini kadri muwezavyo maana kuna watu wanawatamania!!
 
'Kukinukisha' kwa lugha za kitaa, hivi unaelewa matumizi ya neno hili kwa usahihi?
 
Cjaona shda hpo muache afurahie maana kupata mkopp ni bahat sn jmn
 
Wengine hawa
tapatalk_1572271770237.jpeg
 
Unajua first year 2019/2020 wamekuja na matranka, magodoro, magunia ya vyakula sare za shule na maudambu udambu kibao
Sogea kwa upepo wa kisulisuli jioneee kwenye huu uzi
 
Hapo utakuta course aliyochagua Hana uhakika Kama ataajiriwa
Course yenyewe hata haijui....
 
Back
Top Bottom