Hii imekaa kimajungu sana. Sasa unataka dactari au nesi ajifunzie wapi? But ngoja nikushauri coz hujui dactari mwanafunzi lazima maandishi yake yapitiwe na Dr. Bingwa so shukuru kuonana na mwanafunzi coz hapo utamwona bingwa
Jibu rahisi what is U.T.I then waache siasa màana utapotosha watu ku- centrifuge mkojo Na kuangalia kwenye microscope 72hrs? Akirudia paper LA medicine ( lab) ameshadisco tayari
Just pass through Kwa kitu kinaitwa ( DSD). Disorder of sexual development. Hata bongo wapo maadili hayaruhusu kapicha Ila tuna deal na needs ya client coz both sexes anazo ila ni under developed kama ni mb** ni kibamia sana kama k**a ni tundu Dogo tu
Soma kitu kinaitwa post exposure prophylaxis (PEP) na taratibu zake utaelewa
In short ukimwagikiwa na damu ya mwathirika wa HIV au ukajichoma na kitu chenye ncha Kali kama sindano aliyotumia MTU mwenye virus unatakiwa umpime kuthibitisha kama anao na we we upime kuthibitisha kuwa huna ndio...
Daaah! Pole sana
Lakini pia siku hizi ujuaji mwingi sana hapo ilitakiwa dactari afungue tumbo na aangalie ndani kuna mini kumsaidia mtt ila utasikia hata vipimo havijachukuliwa kwahiyo na madactari walikuwa wanasubiri vipimo ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.