matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,586
- 15,369
Jamaa anasema...
Ukizini leo ndani ya masaa sita ukaanza dozi ya siku kama ishirini na nne hivi Virusi Vinakufa.
Ukizini na mtu anayetumia dawa za ARV kwa Uaminifu hakuna ukimwi hapo maana virusi vitakuwa vimezidiwa ujanja viko mafichoni na damu yake inakuwa safi.
Ukimwagigiwa na damu ya Muathilika ikachangamana na Yako, ukiwahi kunywa kinga namba moja hapo unapona.
Huyu jamaa alikuwa anasema mweli, au na yeye ni agent wa kutuua kwa ngoma. Mbona shule ya msingi tuliambia KIRUSI HAFI.
Ukizini leo ndani ya masaa sita ukaanza dozi ya siku kama ishirini na nne hivi Virusi Vinakufa.
Ukizini na mtu anayetumia dawa za ARV kwa Uaminifu hakuna ukimwi hapo maana virusi vitakuwa vimezidiwa ujanja viko mafichoni na damu yake inakuwa safi.
Ukimwagigiwa na damu ya Muathilika ikachangamana na Yako, ukiwahi kunywa kinga namba moja hapo unapona.
Huyu jamaa alikuwa anasema mweli, au na yeye ni agent wa kutuua kwa ngoma. Mbona shule ya msingi tuliambia KIRUSI HAFI.