Kipimo cha U.T.I

Kipimo cha U.T.I

basiri

Senior Member
Joined
Aug 31, 2018
Posts
172
Reaction score
159
Jamani nimesitushwa na habar za ma gazeti juu ya ugojwa wa UTI
always tunapima ugojwa huu kila mara na ndani ya saa ushapata majibu
Leo hii eti wazir wa afya anasema hakuna kipimo cha UTI kinachotoa majibu ndani ya masaa mawili maana yake ni kwamba huwa tunadanganywa kuwa tuna UTI ?
Msaada wenu naona kama imenivuruga habar hiyo
Screenshot_20190519-120817~2.jpeg
 
Nami nimeshangaza vibaya sana , sasa kama ni kweli dawa tunazopewa inakuaje sasa ?
Mara unapewa Ciproflaxin, sijuw amoxylin ,ibuden nk wajuz njoni mtupe elimu kidodo
Maana hata nilisikia kipimo cha Typhoid huwez pata majibu siku 1 ila ukienda hospiral nyingi, ndani ya dk 30 majibu tayari
 
Kenya yasaini makubaliano na afrika kusini kufundisha kiswahili
 
Leo hii eti wazir wa afya anasema hakuna kipimo cha UTI kinachotoa majibu ndani ya masaa mawili maana yake ni kwamba huwa tunadanganywa kuwa tuna UTI ?
Ni chini ya masaa mawili mkuu ndio hamna hicho kipimo!
 
Hospital nyingi ukweli ni kwamba huwa wanadanganya watu!
majibu ya UTI hutoka Masaa 48 baada ya vipimo kitaalamu tunaita CULTURE yani lazima mkojo uoteshwe ili kujua ni Kwa kiasi kipi ugonjwa unakuwa,baada ya hapo daktari atajua atumie dawa ipi upone kabsa
 
Kipimo cha UTI ukitumia dip stick hata dk 1 haipiti.
Labda sijamuelewa waziri alikua anamaanisha nini..
Lakini kipimo hakizidi dk 1 hata ukiweka kwenye microscope haizidi dk 1 tena
 
Hospital nyingi ukweli ni kwamba huwa wanadanganya watu!
majibu ya UTI hutoka Masaa 48 baada ya vipimo kitaalamu tunaita CULTURE yani lazima mkojo uoteshwe ili kujua ni Kwa kiasi kipi ugonjwa unakuwa,baada ya hapo daktari atajua atumie dawa ipi upone kabsa
Mkuu Tz ukisema usubiri culture wagonjwa wengi wangekuwa wanakufa kisa UTI maana hosptali nyingi za mikoa hazina culture achilia mbali za wilaya ambazo ni majanga...
Kwahio wagonjwa wote wa UTI wangekuwa wanapewa refferal kwenda kufanya culture ndo waanze dawa..
Wakati dip stick na urine microscopy zinaweza kudiagnose vizuri tu na wagonjwa wakapona...

Wagonjwa wakishabikia siasa watakuja kufa kwa magonjwa yanayotibika easy
 
masaa 72 mtu umeshamaliza dozi tayari,, kumbe huna hata ugonjwa wenyewe uliomezea dawa bali una una ugonjwa mwingine kabisa,, hii hatari sana ni Mungu kutulinda tu,,
 
Huyo analeta siasa kipimo,,,ukitumia microscope au deep stick kuna vitu unaangalia kwahiyo waziri ameongea kisiasa asilete siasa kwenye taaluma.
Jamani nimesitushwa na habar za ma gazeti juu ya ugojwa wa UTI
always tunapima ugojwa huu kila mara na ndani ya saa ushapata majibu
Leo hii eti wazir wa afya anasema hakuna kipimo cha UTI kinachotoa majibu ndani ya masaa mawili maana yake ni kwamba huwa tunadanganywa kuwa tuna UTI ?
Msaada wenu naona kama imenivuruga habar hiyo View attachment 1102035
 
Usiongee kitu bila kufikiri na bila kujua huyo waziri analeta Siasa mwehu sana nimesikiza speech yake ni hovyo hakuna chochote alichoongea kina tija,,,kwanza hii taaluma ukiwa nje y field kwa muda mrefu huwezi kufanya vigu kwa ufanisi kwahiyo atulie.

Ukifanya urinalysis kwa dipstick hata dk 15 haziishi majibu unapata na ukitumia microscope dk 10 humalizi unapata jibu
masaa 72 mtu umeshamaliza dozi tayari,, kumbe huna hata ugonjwa wenyewe uliomezea dawa bali una una ugonjwa mwingine kabisa,, hii hatari sana ni Mungu kutulinda tu,,
 
Kweli kabisa labda aseme Typhoid kwa dispensary ndo wanatoa majibu sio maana wanatumia reagents kitu ambacho serikali haitaki...lakini kwa UTI ametumia siasa
Mkuu guideline ya TZ hakuna indication ya culture ukisuspect UTI labda kama ni nchi nyingine ambayo kudiadgose uti wanafanya culture..

Bongo ni urinalysis kwa kutumia dip stick na microscope basssi
 
Usiongee kitu bila kufikiri na bila kujua huyo waziri analeta Siasa mwehu sana nimesikiza speech yake ni hovyo hakuna chochote alichoongea kina tija,,,kwanza hii taaluma ukiwa nje y field kwa muda mrefu huwezi kufanya vigu kwa ufanisi kwahiyo atulie.

Ukifanya urinalysis kwa dipstick hata dk 15 haziishi majibu unapata na ukitumia microscope dk 10 humalizi unapata jibu
Sawa mkuu,, lakini tunajaribu kumuamini naibu waziri kwakua nayeye ni daktari wa binadamu pia,,
 
Usiongee kitu bila kufikiri na bila kujua huyo waziri analeta Siasa mwehu sana nimesikiza speech yake ni hovyo hakuna chochote alichoongea kina tija,,,kwanza hii taaluma ukiwa nje y field kwa muda mrefu huwezi kufanya vigu kwa ufanisi kwahiyo atulie.

Ukifanya urinalysis kwa dipstick hata dk 15 haziishi majibu unapata na ukitumia microscope dk 10 humalizi unapata jibu
Sio dk 10...dakika moja tu inatosha...
Sasa eti huyo jamaa anataka watu wafanye culture kisa UTI.. si uchizi huo..

Wagonjwa wakishabikia siasa wataisha... hao wanaosema wao hata kikohozi wanatibiwa regency
 
Usiongee kitu bila kufikiri na bila kujua huyo waziri analeta Siasa mwehu sana nimesikiza speech yake ni hovyo hakuna chochote alichoongea kina tija,,,kwanza hii taaluma ukiwa nje y field kwa muda mrefu huwezi kufanya vigu kwa ufanisi kwahiyo atulie.

Ukifanya urinalysis kwa dipstick hata dk 15 haziishi majibu unapata na ukitumia microscope dk 10 humalizi unapata jibu
Kweli Mkuu Waziri kaongea siasa microscope na deep stick. Tisha Karisa kubaini UTI ndani ya dakika 10.Ikitokea resistant ya dawa ndiyo wanafanya culture ili kujua aina ya dawa inayofa. Pia ni hospitali change sana zinazofanya culture katika microbiology department
 
Sawa mkuu,, lakini tunajaribu kumuamini naibu waziri kwakua nayeye ni daktari wa binadamu pia,,
Yeye ni daktari lakini haizui kuleta siasa afu yupo nje ya field kwa miaka mingi....kwa Typhoid yupo sahihi ndo maana hairuhusiwi kupima kwenye dispensary maana wao wanatumia reagent kama vile wanavyofanya blood grouping kitu ambacho hakiruhusiwi.
 
Umezungumza ukweli na hiyo culture ndo hufanywa kubaini pia ni Mdudu gani miongoni mwa wale wanaosababisha UTI ili watoe dawa nzuri zaidi
Kweli Mkuu Waziri kaongea siasa microscope na deep stick. Tisha Karisa kubaini UTI ndani ya dakika 10.Ikitokea resistant ya dawa ndiyo wanafanya culture ili kujua aina ya dawa inayofa. Pia ni hospitali change sana zinazofanya culture katika microbiology department
 
Sio dk 10...dakika moja tu inatosha...
Sasa eti huyo jamaa anataka watu wafanye culture kisa UTI.. si uchizi huo..

Wagonjwa wakishabikia siasa wataisha... hao wanaosema wao hata kikohozi wanatibiwa regency
Halafu angetakiwa awaelimishe raia UTI sio ugonjwa wa mchezo sasa akileta siasa watakufa wengi.
 
Madaktari leteni majibu huenda waziri ni msomi kuliko nyie
 
Jamani nimesitushwa na habar za ma gazeti juu ya ugojwa wa UTI
always tunapima ugojwa huu kila mara na ndani ya saa ushapata majibu
Leo hii eti wazir wa afya anasema hakuna kipimo cha UTI kinachotoa majibu ndani ya masaa mawili maana yake ni kwamba huwa tunadanganywa kuwa tuna UTI ?
Msaada wenu naona kama imenivuruga habar hiyo View attachment 1102035
Jibu rahisi what is U.T.I then waache siasa màana utapotosha watu ku- centrifuge mkojo Na kuangalia kwenye microscope 72hrs? Akirudia paper LA medicine ( lab) ameshadisco tayari
 
Back
Top Bottom