- Thread starter
- #21
Uo ushauri sikubarianinao wa kunikatisha tamaaMi darasani perfomance yangu ni nzuri sana sio kwamba sina akili ya kusoma
Uo ushauri sikubarianinao wa kunikatisha tamaaMi darasani perfomance yangu ni nzuri sana sio kwamba sina akili ya kusoma
Uo ushauri sikubarianinao wa kunikatisha tamaa
Majaribu ni mengi ktk maishaInawezekan tu mtu kanisimamia ndo man nipo ivyo
Naomba ushauri mana nahitaji kuendelea na shule hii roho inanisumbua sanaExactly iyo ndo roho inayonisumbua mana nilianza five na six ilibid nifanye mtihan mwez wa tano nikaacha
Uo ushauri sikubarianinao wa kunikatisha tamaa
Ucijal ntafikaWazo zuri,uje tuungane kulima huku
Kama vipi nipm maana unaweza kunisaidia nipo 5th year MD Ila natamani kuacha chuo kabisaNilishapitia Kipindi kama chako mdogo Wang, niliacha kuingia class kama mwezi mmoja hivi
Muhimu watafute watu wazima na viongoz wa dini uwaeleze nahisi wanakitu cha kukusaidia .Usiache kuomba Mungu kwa imani yako. Usiache kufikiria malengo yako
Kama vipi nipm maana unaweza kunisaidia nipo 5th year MD Ila natamani kuacha chuo kabisa
ThanksWhy uache chuo wakati upo 5th year ?
Are you serious?
Mimi nahisi kwa ww tafuta viongozi wa dini wakuombee even though unasomea Medical doctor , ni course nzuri yenye future ya kujiajiri hata kuajiriwa ukipenda.
Hutakiwi kuacha umepoteza muda na pesa alafu uachie njiani Mimi MD msoto wake nahufahamu haswa hasa mwaka 2,3,4 wa tano siyo sana kama hapo kati.
Anyway Muombe Mungu sana. Because unamwitaji sana kipindi hiki
Kanisani wamekwambia bibi yako amekuchezea?Ili tatizo linanichanganya sijui chanzo ni nini ninasoma chuo ninamaliza mwaka wa kwanza nasumbuliwa na mawazo ya kuacha chuo tangu nimeanza chuo chenyew lakini nikifanya mitihan nafauru vizuri sana sijui shida ni nini ila moyo wangu unapenda kabisa kusoma.
Nikaenda kusomewa kuraani nikaambiwa darani tu nachezew,nikaenda kanisan nikaambiw bibi angu kachukua nyota yangu kawek kwenye kaniki yan nazidi kuchanganikiewa kwasababu mwakan inabid nije niendelee na diploma naifikilia hii hali itakuwaj kwa mwaka wa pili
AiseeSasa likizo ya miezi minne imetoka wapi???
Ili tatizo linanichanganya sijui chanzo ni nini ninasoma chuo ninamaliza mwaka wa kwanza nasumbuliwa na mawazo ya kuacha chuo tangu nimeanza chuo chenyew lakini nikifanya mitihan nafauru vizuri sana sijui shida ni nini ila moyo wangu unapenda kabisa kusoma.
Nikaenda kusomewa kuraani nikaambiwa darani tu nachezew,nikaenda kanisan nikaambiw bibi angu kachukua nyota yangu kawek kwenye kaniki yan nazidi kuchanganikiewa kwasababu mwakan inabid nije niendelee na diploma naifikilia hii hali itakuwaj kwa mwaka wa pili