Wanawake wote ndugu yangu ni afadhali ya yule ni vile tu wanaume wanakufa na Yao moyoni.. pengine ukihadithiwa yanayowakuta wengine utaina wewe hujapitia chochotenkabisa
Mimi binafsi napenda harakati, lakini niwe mkweli
Sijaona harakati youote kwa polepole, Hakuna anachosema ambacho kinaweza kuwa kimewashtua watawala hata kidogo
Gwajima aliongea Mara moja tu na huko juu vikao vikakaliwa lakini polepole ameshaongea zaidi ya mara kumi hakuna impact yoyote...
M
Mkuu nikwambie Kitu Kutoa ni Moyo na wala sio utajiri kama ambavyo walisema wahenga😂😂
Yeye hakuwa ma moyo wa kutoa na wewe kama unao huo moyo ukiweza kusaidia msaidie ukiwa huwezi basi mpotezee usijibu sms zake au block namba yake
Yeye mwenyewe atajiongeza kama wewe ulivyojiongeza mwazo...
KIJANA WANGU AMEHITIMU KIDATO CHA SITA NA KUPATA DIV II NAOMBA USHAURI KOZI IPI NZURI KATI YA HIZI ACHUKUE
AMESOMA HKL
(a) Bachelor Degree in Shipping and Port Logistics management
(b) Bachelor Degree in Logistics and Transport Management
(c) Bachelor Degree in Road and Railway Transport...
Tifauti na wengi wanavyofiirikwangu mimi Mbowe ni mwanasiasa mzuri, anajua kula na kipofu, ikiwa amealikwa na kama mstaafu kwa nini asiende? Huyu Mbowe ni Chadema waliomshutumu kwa maneno mazito na wakamtaka akae pembeni leo wanamuhitaji?
Bashiru alipokuwa Katibu Mkuuu wa CCM aliwahi kusema "Unapokuwa kwwnye Dola tumia Sola kubaki katika dola" yalikuwa maneno machache sana lakini yenye maana pevu na Pana
Jinan, China – Juni 2025
Katika hatua ya kushangaza dunia, China imekamilisha ujenzi wa barabara ya chini ya maji yenye upana mkubwa zaidi duniani ndani ya siku 110 pekee, chini ya Mto wa Njano (Yellow River) katika jiji la Jinan.
Barabara hiyo ya ajabu ina urefu wa kilomita 3.3 (sawa na maili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.