Recent content by Albinoomweusi

  1. A

    JamiiForums Tanzania Mtanzania Barka Seif ajiunga na Academy ya Barcelona (La Masia)

    Hata sasa huyo dogo hana Passport ya Tanzania
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mke wangu hajapata uhamisho, Ndoa yetu ina miaka 9 kila mtu yupo mkoa wake, migogoro ni mingi hadi inanichanganya, sijui nifanye nini!

    Mkeo hajadhamiria kuhama ndio maana mpaka.sasa hajaoata uhamisho japo wewe unaona mmepigana sana, Suluhisho ni gumu ni wewe kuamua kuacha kila kitu na kuhamia aliko mkeo... ninuamuzi mgumu lakini kama unaitaka hiyo ndoa hilo ndio suluhisho
  3. A

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Baada ya ugomvi Mke Wangu kabeba kila kitu ndani, kaondoka na Mwanangu wa Miaka 2.5

    Endelea na maisha yako, ukishazaa nao hao mbwa wanajitegeza sana na sisi huwa tunaleta huruma.ya watoto huyo kakupunguzia Mashuzi kaka songa mbele
  4. A

    JamiiForums Tanzania Nilimuoa huyu nikamuacha yule sasahivi namkumbuka

    Wanawake wote ndugu yangu ni afadhali ya yule ni vile tu wanaume wanakufa na Yao moyoni.. pengine ukihadithiwa yanayowakuta wengine utaina wewe hujapitia chochotenkabisa
  5. A

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuichangai CCM yanga yaona aibu yafunga comment

    Hao jamaa kwa sasa ndio watakatishaji oesa namba moja nchi hii
  6. A

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole ajibu mapigo baada ya Samia Suluhu Hassan kuchukua fomu ya urais 09 agosti 2025

    Mimi binafsi napenda harakati, lakini niwe mkweli Sijaona harakati youote kwa polepole, Hakuna anachosema ambacho kinaweza kuwa kimewashtua watawala hata kidogo Gwajima aliongea Mara moja tu na huko juu vikao vikakaliwa lakini polepole ameshaongea zaidi ya mara kumi hakuna impact yoyote...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Dah! Wife umenivunja moyo aisee na siamin!!

    Kwa mtazamo wangu Mwanamke au Mwanaume hawezi kukaa miaka 8 bila mahusiano alichokosea yeye ni kuweka wazi mahusiano yake
  8. A

    JamiiForums Tanzania Huwa mnadili vipi na ndugu wa aina hii?

    M Mkuu nikwambie Kitu Kutoa ni Moyo na wala sio utajiri kama ambavyo walisema wahenga😂😂 Yeye hakuwa ma moyo wa kutoa na wewe kama unao huo moyo ukiweza kusaidia msaidie ukiwa huwezi basi mpotezee usijibu sms zake au block namba yake Yeye mwenyewe atajiongeza kama wewe ulivyojiongeza mwazo...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Kijana mhitimu wa kidato cha sita achukue kozi ipi

    Kwa nini mkuu
  10. A

    JamiiForums Tanzania Kijana mhitimu wa kidato cha sita achukue kozi ipi

    KIJANA WANGU AMEHITIMU KIDATO CHA SITA NA KUPATA DIV II NAOMBA USHAURI KOZI IPI NZURI KATI YA HIZI ACHUKUE AMESOMA HKL (a) Bachelor Degree in Shipping and Port Logistics management (b) Bachelor Degree in Logistics and Transport Management (c) Bachelor Degree in Road and Railway Transport...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema amlilia Freeman Mbowe kwa waraka mzito

    Tifauti na wengi wanavyofiirikwangu mimi Mbowe ni mwanasiasa mzuri, anajua kula na kipofu, ikiwa amealikwa na kama mstaafu kwa nini asiende? Huyu Mbowe ni Chadema waliomshutumu kwa maneno mazito na wakamtaka akae pembeni leo wanamuhitaji?
  12. A

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Watu wameruka Nyumbani kwa Dada yangu Bahari Beach, wadai wamefuata taarifa

    Pole pole zaidi ya uwanahaakati si mtu mzito kihivyo
  13. A

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Maeki wa kati chelsea ni changamoto
  14. A

    JamiiForums Tanzania Wosia alioandika huyu mzee ni wa kibabe sana

    Urithi ni neno zuri la kupamba maneno lakini hasa maana yake ni Ugawaji wa Mali sasa yeye anataka kutoa urithi bila kugawa mali
  15. A

    JamiiForums Tanzania Namna ‘connection’ ya Uwoya ilivyovuja!

    He Untupe hii namba mbili
Back
Top Bottom