Cha muhimu kuwatesa tu wanaotegemea hela za marehemu.
Wakati unakata roho unasema "kwenye bank kuna kuna mia mia" unakata roho
Wateseke kidogo na wakukumbuke kumbuke.
Ongeza meseji nyengine chini
"Fanya mpango wa kama 50000 hivi kaka si unajua uyu ndie shemeji wako wa kweli sitakiwi nimwangushe nipo hovyo braza"
Kesi nyepesi sana hii meseji ilikua inaenda kwa rafiki yako au bro wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.