Recent content by albangwea

  1. A

    Hizi ni sababu za kwanini Marekani inachelewa au kuogopa vita na North Korea

    Nimekusoma sana mkuu...ila hiyo tabia ya kutojalibiwa ndo nayoipenda kwa Kim...maan marekan akijua anaweza kukutingisha bas hutakua salam
  2. A

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Ndani ya dakk 45 wamekata mara mbili...kama si kuunguziana vitu huku nini....
  3. A

    Uganda: Hongera Mzee Museveni kwa kumsaidia Rais Magufuli kuelewa na kujibu maswali ya Waandishi

    Ma mim kuna mda nkawela mikono usoni...teh teh teh
  4. A

    Prof Kabudi: Ufafanuzi kuhusu makubaliano kati ya Serikali na Barrick

    Tetesi: mazungumzo bado ya nini cha kulipwa bado yanaendelea na hakuna makubaliano, na hizo us dollar 300m ni Barrick wenyewe nd wamesema wanalipa na si kwamba n pendekezo au nd makubaliano...."ngoja tuone mda ukiamua"
  5. A

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Tecno L8... Iko vzr Ukiwasha Data 24hrs Ikiwa kwenye power mode 34 hrs Whatsapp 0718991653 Iringa
  6. A

    Maongezi ya Shilawadu na Zari kuhusu kuachana na Diamond Platinumz

    Ndo tabu ustaa ukiwa unazidi akili zako...waliozoea ustaa huwez kuskia upuuzi kama huu
  7. A

    Swali fikirishi: Kwanini gari lililotumika kumpiga Lissu risasi trafki waliliandalia njia kupita ili lisikae foleni?

    Ukiiskiza nyimbo ya roma kwa umakini mkubwa...huna haja ya kuumza kichwa
  8. A

    Msukuma akwama polisi, mamia wamiminika mahakamani kumsubiri

    Kuna jambo wanataka lisahaulike hapa.... Ngoj ntafute 2700 nkanywe chai tu...
  9. A

    Kwanini Dereva wa Lissu akimbizwe Nairobi?

    Mnataka na dereva? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. A

    Kubenea: Tundu Lissu amesema anawajua kwa sura waliompiga risasi

    Sijui hao wasiojulikana wameadhibiwa vipi na waliowatuma Sent using Jamii Forums mobile app
  11. A

    Nimemkuta Ex wangu 'Anajiuza' roho imeniuma sana

    Sas mnatofauti gani? Kwa wew na yey kuwa pale Sent using Jamii Forums mobile app
  12. A

    Ni Kiongozi gani mkubwa aliyepewa Almasi ya Dola milioni 200? Mali zake zitaifishwe!

    Watu wa lumumba mnaanza kubadili mada...wakt orodha yenyew iliyotajwa hain ukakasi japo nahis kuna mapeng yamefichwa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom