Tetesi: mazungumzo bado ya nini cha kulipwa bado yanaendelea na hakuna makubaliano, na hizo us dollar 300m ni Barrick wenyewe nd wamesema wanalipa na si kwamba n pendekezo au nd makubaliano...."ngoja tuone mda ukiamua"
Watu wa lumumba mnaanza kubadili mada...wakt orodha yenyew iliyotajwa hain ukakasi japo nahis kuna mapeng yamefichwa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.