Recent content by al4nce

  1. A

    Mwakyembe: Hotuba ya Magufuli imevunja rekodi ya dunia

    Bi Binafsi naona Ukawa watulie tu wasubiri kunyolewa kimtindo maana JK ndio alikuwa mwisho wa Uanaharakati wa upinzani.........
  2. A

    Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

    Njaa mbaya wamebanya kwa hiyo lazima waungane kujitafutia Riziki......Raisi wetu yupo kimya anawatumbua kimya kimya.
  3. A

    Kwaheri Kikwete, kwaheri uhuru wa kupata habari/kujieleza

    Mlitaka Raisi Mkali, Ngoja Mwaka mmoja uishe ......usanii wote utakwisha na heshima bbaina ya watu na Taifa Utarudi. Mlizoea kupapasa sharubu za Babu.
  4. A

    Wakurugenzi wa Kigoma na Mpanda wasimamishwa kazi kwa kusababisha upotevu wa fedha

    Kama ulivyo Uraisi hakuna shule ya kusomea ukurugenzi au cheo chochote tuache kujishusha tuwe na ujasiri na malengo pia. hao wanaohangaika na uzoefu cha maana walichokuwa nacho ni uzoefu wa kudokoa fedha za umma kwa miaka kumi au ishirini.
  5. A

    Wakurugenzi wa Kigoma na Mpanda wasimamishwa kazi kwa kusababisha upotevu wa fedha

    Mpaka Mwaka uishe watu watumishi wa halmashauri watanyooka tu......
  6. A

    Mishahara ya Marais wastaafu ipunguzwe

    Mnajua maana ya Trillion au mnakurupuka kama waandishi wa magazeti ya Mawio.? Trillioni maana yake ni Billioni elfu moja (1 Trillion=1000 billion na Billioni moja ni Millioni 1000, kwa kifupi Trillioni moja ni million moja moja million moja? Hesabu za darasa la Tano.yaani 1 trillion inaandikwa...
  7. A

    Mishahara ya Marais wastaafu ipunguzwe

    Makusanyo ya TRA kwa mwezi ni kama Billioni 900 sio million, nafikiri kuna makosa.Pia unatakiwa kujua wanaposema mshahara wa Raisi labda ni sh. Million 200 au 400 sio kwamba analipwa Cash ya 200m au 400m maana yake ni kwamba gharama za raisi kwa mwezi, Yaani nyumba, afya, walinzi binafsi na wa...
  8. A

    Charles Kimei (CRDB) jiuzulu, kashfa ya kontena, tiketi TFF, wanafunzi na ujambazi CRDB

    Du tayari utakuwa umeshapigwa chini kwenye "Interview" ya kuomba kazi. Umeandika kwa mahaba!.......Ila kama ni kweli taratibu zote za kinidhamu zichukuliwe kwa wahusika woote. Bila ya kuangalia sura wala kupepesa macho, cha msingi ni benki kuchukuliwa hatua kulingana na ushiriki wake kwenye hilo...
  9. A

    Saed Kubenea: Sijagombea PAC, sijagushi jina wala Zitto hajui MwanaHalisi ilivyoanza

    Sasa ndio namwelewa Lowassa alivyomaanisha kipaumbele chake cha kwanza ni elimu, cha pili ni Elimu na cha Tatu ni Elimu. Da Jamaa kawa mdogo........kwa uchambuzi anaoufanya da ......sijui kama watamkosa.
  10. A

    Saed Kubenea: Sijagombea PAC, sijagushi jina wala Zitto hajui MwanaHalisi ilivyoanza

    Amesema ameishia kidato cha nne, baada ya hapo akachukua mafunzo mafupi hapa na pale nchini, then akasomea elimu ya juu ya uandishi wa habari uholanzi na india...........Du yale mafuriko ya babu yalituficha mengi, nahisi ukimbana vizuri ataishia kusema amesomea Elimu ya Juu yaani Advance...
  11. A

    Mtandao wa Lowassa wa 4u Movement wasambaratika rasmi

    Kwa hiyo hawa vijana walitaka Mzee Mamvi awalipe kwa kazi gani.......? Walipochemka na kuacha mafuriko yakielekezwa baharini ilishakwisha. Watulie waache kuruka ruka, Kwa wale waliokuwa chuo wakala Boom tunawapa pole maana Mzee wao yupo busy na kuchunga ngombe?
  12. A

    Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

    Kinachotakiwa tu ni kufuata sharia za nchi na sharia za kodi, hawa wanasiasa waache blaa blaa siasa zimeisha. Unapofuatwa kulipa kodi kinachotakiwa kufanya ni kuthibitisha umelipa kodi stahiki na sio vinginevyo. Hata tunaofanya kazi kwenye - Makampuni makubwa TRA wanafanya hivyo hivyo. Tatizo la...
  13. A

    Bomoabomoa yaliza Wachina Mikocheni

    Tatizo ni taasisi zetu zipo kidili dili.........kukubali kubomoa sio tatizo wala sina cha kumpongeza maana hiyo gereji ingebomolewa tu.Kinachonikera ni yeye kuelekeza Vyoo vyake kwenye mto mlalakuwa kwa kipindi chote alichokuwa anafanya kazi hapo. NEMC walikuwepo hii inakera sana. Cha ajabu wapo...
  14. A

    Zile TZS trilioni 1.3 za mapato zimeyeyukia wapi? Nani abebeshwe mzigo?

    Bora tuliomchagua Nyumbu kuliko mliomchagua KIBOKO maana anakula mpaka mchanga.
  15. A

    Zile TZS trilioni 1.3 za mapato zimeyeyukia wapi? Nani abebeshwe mzigo?

    Sidhani kama upo sahihi nafikiri tutulie tupapewa taarifa ya makusanyo kamili yaliyofanywa na serikali. siasa zimekwisha tuchape kazi.
Back
Top Bottom