Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

U roho wa madaraka wa zitto na usaliti kupe
Lackeys mnatabu sana,mkiona bwana yenu kamchukia mtu na nyinyi mnalazimika kumchukia hata kama hamjui hata chanzo cha ugomvi wao ili mumridhishe tu bwana yenu na ikitokea wamepatana mnaanza tena kujishebedua.

Hawa jamaa uwezekano wa ku-settle tofauti zao ni mkubwa sababu issue ilikuwa uenyekiti tu na lengo la kumpoteza kisiasa limeshindikana so running dogs jiandaeni tena kuanza kumuimbia mapambio.
kupenkupenda hera sanduku jekundu limeisha fedha
 
sasa wale bavicha sijui watakuwa na kazi gani. maana wao ilikuwa kutwa kucha kumtukana Zitto humu. sasa Boss wenu kafanya tofauti.
mjifunze kitu hapa; msiamini sana mnayoambiwa na wanasiasa. nyie mtauana wakati wao wakinywa chai pamoja. take care.
Hapa nafikiri mmawia anahusika sana.
 
Hiyo ni ishara kuwa Ukawa wanasimamia hoja zote zinazo simamia maslahi ya wananchi. Hata Mbunge wa ccm akianzisha hoja yenye mashiko ataungwa mkono tofauti na ccm hawawezi kuunga mkono hoja ya upinzani hadharani Bali kwa kificho kama hii ya TBC.
CCM imejengwa katika misingi ya unafiki
 
Katika mazingira ya kusikitisha wale waliomwita msaliti katika chama wajikuta ghafla wakitoa pongezi kubwa kwake, kwa kuonyesha ushujaa. Zitto Kabwe kwa upande wake amekaliliwa akisema waliokuwa wabaya wake tayari amewasamehe.
Inaonekana zito amepoteza kwa kutokuwepo CDM hata huko aliko hajaridhika. Ama sivyo asingekuwa anasemwa kuhusiana na CDM. CDM hawajasema wanamhitaji aendelee na mambo yake. Lakini kama atakuwa akifanya kitu washabiki wake wakitumie kukoga CDM ni kuonyesha kuna alichopoteza na anachokosa akiwa nje ya CDM.
 
View attachment 319821
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (kulia) akipeana mkono na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe.
Siku zote kiburi cha Serekali ya Ccm huwa kinakuwa faida kwa upinzani tanzania.
Mtakubumbuka kiburi cha Ccm kwenye bunge la katiba,kilizaa Ukawa kwa mara ya kwanza Cuf na CDM wakajoin pamoja.
Hilo limejitokeza tena jana.Mwondelezo wa kibri umefuta tofauti kati ya ACT na CDM
Leo nani alitaraji zitto atakula sahani moja na Lema?
Leo zitto yupo pamoja tena na mlezi wake wa kisiasa Freeman
Kiburi kimezaa jeuri
Zitto ajachana nywele
 
sasa watu mnasema ukawa imemnyenyekea zitto,..
mlitaka wapingane na zito waisapoti fisiem ama|????
 
Katika mazingira ya kusikitisha wale waliomwita msaliti katika chama wajikuta ghafla wakitoa pongezi kubwa kwake, kwa kuonyesha ushujaa. Zitto Kabwe kwa upande wake amekaliliwa akisema waliokuwa wabaya wake tayari amewasamehe.

Njaa mbaya wamebanya kwa hiyo lazima waungane kujitafutia Riziki......Raisi wetu yupo kimya anawatumbua kimya kimya.
 
Zitto hongera, hongera zaidi zimwendee marehem bi shida alokuweka tumboni miez Tisa, Mungu amuweke pahala pema
 
Nje ya upinzani mpinzani hawezi kung'aa refer hamad rashid.
 
Katika mazingira ya kusikitisha wale waliomwita msaliti katika chama wajikuta ghafla wakitoa pongezi kubwa kwake, kwa kuonyesha ushujaa. Zitto Kabwe kwa upande wake amekaliliwa akisema waliokuwa wabaya wake tayari amewasamehe.
Hupendi watu wapatane??
 
Kwenye Siasa hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu.

Zitto ili apate kung'aa ana wahitaji UKAWA.

Pumba tu! Baada ya maji kuwafika shingoni leo mnakuja na maneno ya kwenye kanga eti kwenye siasa hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu, tehe tehe tehe Zitto amewashika pabaya! Huyu jamaa Watanzania wanamuelewa imebidi tu kina Mbowe waondoe chuki zilizo ndani ya vifua vyao maana bila kufanya hivyo kijana alikuwa anawapoteza kabisa!

Zitto nyota yake inang'aa toka kitambo haitaji msaada wa wanasiasa makanjanja kumpaisha!
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom