Charles Kimei (CRDB) jiuzulu, kashfa ya kontena, tiketi TFF, wanafunzi na ujambazi CRDB

Ungehorodhesha na mazuri aliyofanya, manake hiyo benki alipoitoa na ilipo leo ni tofauti kabisa kama kuna kasoro kwanini wasiambiwe kama ushauri ili waboreshe. Kusimamia biashara sio siasa ambayo kila mtu anaweza sema anachoona. Mie naona CRDB ni katika Bank za kupigiwa mfano manake binafsi ni mteja kwa Zaidi ya miaka 12 na nimeona kuanzia matawi mpaka hudumua kuimarika japokuwa katika kutoa mikopo siwakubali sana na nafikiri ni fursa kwao kuondosha uhafidhina katika kutoa mikopo na kuangalia traditional credit management na kwenda na kimfumo wa sasa hivi ambao biashara zinakuwa rahisi sana.

Umkimlaumu na kutaka ajiuzulu kwa sababu ya CSR na ukasahau kazi za msingi za Bank unaweza ukapitia tena post yako na kuiboresha au kuifuta kabisa. Binafsi sioni kashfa yeyote katika hizo inayomtaka ajiuzuru, mie namuona kama shujaa na miongoni mwa watanzania wachache wa kupigiwa mfano katika utumishi uliotukuka.

wacha wee, kupigiwa mfano au kuigwa mfano
 
Ushauri kwa Kimei:

Imefika wakati wa kujitathmini na kuachia ngazi bila shuruti ili heshima yake ibaki palepale. Ni kiongozi aliyefail katika industry ya kibenki kwa kutofanya risk assessment;

1. Alianzisha mradi wa mabasi ya wanafunzi umekufa - haujawa endelevu.

2. Kaingia mkataba na TFF ; tiketi system, kanunua satellite dish; kujenga kingo za kuingilia.

3. Kuna taarifa la Jeshi la Polisi kuwa wafanyakazi wa benki kushirikiana na majambazi, tumeona matukio ya Mlimani City.

4. Kontena za TPA zilikuwa zinalipwa CRDB, zilikuwa zinafutwa kwenye mitandao IT Deparment.

5.Ufunguzi wa benki Burundi watu wa risk.

Ni wakati wa kujipima na kujiuzuru..

Du tayari utakuwa umeshapigwa chini kwenye "Interview" ya kuomba kazi. Umeandika kwa mahaba!.......Ila kama ni kweli taratibu zote za kinidhamu zichukuliwe kwa wahusika woote. Bila ya kuangalia sura wala kupepesa macho, cha msingi ni benki kuchukuliwa hatua kulingana na ushiriki wake kwenye hilo sakata. Mleta mada anachotakiwa kujua ni kwamba wateja wa bandari walikuwa wanaweka pesa za malipo ya bandari kwenye account ya Bandari iliyoko CRDB, kama ikigundulika wafanya kazi wa CRDB walikuwa wakuchezea account za TPA bila idhini ya TPA hapo ndio kutakua na Mushkeri, lakini kama walikuwa wana vielelezo vyote thenCRDB kama bank inabidi iwajibishwe kwa mujibu wa sharia.
 
Hata aliyegundua bulb unayotumia alijaribu zaid ya mara 50 ndio akapata hilo bulb unalotumia wewe na unachekelea mwangaza, kwa mfanyabiashara ni lazima a-risk ndipo mafanikio unayaona......

Usidhan kila aliyefanikiwa kila jambo lilikua linaenda tu kirahis.

Haya hebu tuambie na ww yale uliyofanikiwa na yale uliyoshindwa....

Sio unaona kibanz tu cha kwenye jicho la mwenzako wakati ww una boriti jichon pia
 
kimei kaijenga sana CRDB acheni majungu. Ila naye anakula watoto wakali sana dah
Kama huna pesa mademu wazuri wote ni shemeji zako, acha tu ale vitu vizuri kwa maana hakuna namna nyingine
 
kuna tetesi pia kwamba wasaliti wa mabadilko wamekuwa wakipewa mpunga wao wa usaliti kupitia benki hii , namshukuru sana Mungu kwa kunizuia kufungua akaunti kwenye benki hii .
 
kama ikigundulika wafanya kazi wa CRDB walikuwa wakuchezea account za TPA bila idhini ya TPA hapo ndio kutakua na Mushkeri, lakini kama walikuwa wana vielelezo vyote thenCRDB kama bank inabidi iwajibishwe kwa mujibu wa sharia.
Hawawezi kuchezea akaunti za TPA au hata TRA moja kwa moja coz'; akaunti zote za serikali ambazo ni revenue collection; huwa zinafanya periodic transfer; ama daily, biweekly, weekly or monthly kwahiyo huwezi kuzigusa hizo! Lakini kwamba kuna uwezekano CRDB Staff wanahusika, hilo halina mjadala lakini sio kwa kuchezea akaunti za TRA na TPA.... zinapigwa juu kwa juu kabla hazijanusa unless iwe watu wa IT ingawaje kwangu naona michezo kama hii, branch tu pale inatosha though kwa issues za billions, hakuna inachoshindikana.
 
Kweli kuna haja ya elimu kuwa BURE kwa ujinga huu wa Watanzania.

Hivi kigogo wa CRDB ana wajibishwa na nani!?

Unadhani CRDB ni mali ya serikali ambayo mkurugenzi wake anajiuzuru pale wananchi wanapo andamana!?

Mkurugenzi wa CRDB ana wajibika kwa bodi ya wakurugenzi ya CRDB ambao ni wana hisa - Watu binafsi hawa...DG wa CRDB hawajibiki kwako wewe Nyumbu.

Hata ingekuwa kweli hayo uliyoandika na mengine mengi na mabaya zaidi tena mabaya zaidi ya hayo...mkurugenzi wa CRDB asingejiuzuru mpaka bodi yake imtake kufanya hivyo. Kimei sio mteule wa JK wala Mkapa na wala hafanyi kazi kwa maslahi ya umma wote bali kwa maslahi ya wana hisa wa CRDB tu.

Note: Nikisema wana hisa ni wale walio changia mtaji tu (wale wanao faidi gawiwo)...Na wala sio wewe uliyeweka vilaki mbili vyako kwenye akaunti CRDB.
hahahahaaa....kaweka vilaki vingapi??
 
Lisemwalo pengine lina ukweli ndani yake. Kuliko kumshambulia mtoa mada ni vyema kusubiri vielelezo. Police wamesema watashughulikia swala ujambazi kuanzia kwenye mabenki na wameomba wananchi wawasaidie kutoa taarifa. Tuvute subra!
 
mzee Kimei, kama uko huku hili swala la kula 'watoto' liangalie kwa macho mawili. Umefanya kazi nzuri sana crdb ila la totoz kama lipo kweli acha mzee!

Kazi na daawa, na mbuzi anakula urefu wa kamba yake inapofikia. Kama lipo la totoz sidhani kama anastahili lawama hata ungekuwa wewe sijui kama ungepaisha kwanza una kisu kikali na performance yako ni ya juu mno, unataka nani awale sasa kama sio wenye visu vikali na hawataisha.
 
Ushauri kwa Kimei:

Imefika wakati wa kujitathmini na kuachia ngazi bila shuruti ili heshima yake ibaki palepale. Ni kiongozi aliyefail katika industry ya kibenki kwa kutofanya risk assessment;

1. Alianzisha mradi wa mabasi ya wanafunzi umekufa - haujawa endelevu.

2. Kaingia mkataba na TFF ; tiketi system, kanunua satellite dish; kujenga kingo za kuingilia.

3. Kuna taarifa la Jeshi la Polisi kuwa wafanyakazi wa benki kushirikiana na majambazi, tumeona matukio ya Mlimani City.

4. Kontena za TPA zilikuwa zinalipwa CRDB, zilikuwa zinafutwa kwenye mitandao IT Deparment.

5.Ufunguzi wa benki Burundi watu wa risk.

Ni wakati wa kujipima na kujiuzuru..
Nasikitika kwamba katika dunia ya leo bado unaishi kwa majungu. Unajua nini kuhusu mabasi ya wanafunzi au Mkataba wa CRDB na UDA? Unajua tatizo la electronic tickets ni nini?TFF ambaye ni mteja kasemaje? Taarifa za polisi kuhusu wizi wa Mlimani City je unajua pale kuna Benki ngapi? Kwann ajiuzulu wa CRDB? Kuhusu Burundi? Hili ndio limeonyesha uwezo wako mdogo wa kufikiri kama alivyo aliyekutuma.
 
hiyo ya kuibia serikali mapato ya ushuru ndio more serious. naona wanamsitiri lakini a spade must be called its name. binafsi nikisikia siku nyingi two three years back jinsi watumishi wa benki wanavyoshirikiana na maafisa wa tpa kuiba hela za ushuru wa forodha. nilifikiri utani kumbe kweli na benki yenyewe kumbe crdb. sasa kumbe pia kuna staff wanashirikiana na majambazi ukichukua hela zako unakabwa wanakuua. crdb sasa ni ujambazi tu inafaa ifilisiwe serikali iweze kupata ushuru walioiba staff wa benki hiyo.
Hivi kweli mtu mzima unaweza kufikiria kibo ya hivi?
Waambie kuwa kama kuna mteja alilyelipa na kodi yake haionekani ni vizuri aende Bank alalamike. Haya matamshi ya jumla jumla hayana ukweli wala tija! Tunafahamu sote kuwa wahuni na matapeli wanaweza kuwalagai wa wateja. Wawe na akili. Receipt wazilete kama ni kweli lakini hadi leo walioleta malalamiko hwazidi 5 na wote malamiko yao hayana msingi
 
Jamani No research no right to speak...sasa kweli unamponda kiongozi bora alieipeleka benki to the next level? Mi naona una chuki binafsi ndo maana ukaandika maneno yasiyo na ukweli wowote.
Kwani usiandike mazuri yote alioifanyia benki na jamii kwa ujumla??
Project za shule ambazo CRDB Bank zimesupport madawati ujenzi wa vyoo na kadhalika.
Watanzania tuache majungu sio vizuri kumvunjia heshima kiongozi bora na mwenye kujituma na kujitolea kama Dr Charles Kimei.

...
 
CRDB ni benki pekee ya wazawa iliyodhubutu kuvuka mipaka yake na kuwekeza nje ya Tanzania tumezoea kuona benki za kigeni tuu na pale unaposema ni risk kufungua matawi Burundi hakuna biashara yoyote duniani iliyokuwa na risk. Fanya uchunguzi vizuri ujue juu ya ukusanyaji mapato TRA kabla ya Crdb kuingia TRA hela nyingi ziliishia mikononi mwa watu. Wizi wa Mlimani City mbona kuna benki zaidi ya moja au nyingine ni majengo wewe una chuki binafsi tunaipenda benki yetu tunakuomba Kimei ufungue matawi mengi nchi nyingine kama Kenya wako Africa nzima
 
CRDB ni benki pekee ya wazawa iliyodhubutu kuvuka mipaka yake na kuwekeza nje ya Tanzania tumezoea kuona benki za kigeni tuu na pale unaposema ni risk kufungua matawi Burundi hakuna biashara yoyote duniani iliyokuwa na risk. Fanya uchunguzi vizuri ujue juu ya ukusanyaji mapato TRA kabla ya Crdb kuingia TRA hela nyingi ziliishia mikononi mwa watu. Wizi wa Mlimani City mbona kuna benki zaidi ya moja au nyingine ni majengo wewe una chuki binafsi tunaipenda benki yetu tunakuomba Kimei ufungue matawi mengi nchi nyingine kama Kenya wako Africa nzima
exim bank walitoka kitambo; djibouti, comoro
 
CRDB ni benki pekee ya wazawa iliyodhubutu kuvuka mipaka yake na kuwekeza nje ya Tanzania tumezoea kuona benki za kigeni tuu na pale unaposema ni risk kufungua matawi Burundi hakuna biashara yoyote duniani iliyokuwa na risk. Fanya uchunguzi vizuri ujue juu ya ukusanyaji mapato TRA kabla ya Crdb kuingia TRA hela nyingi ziliishia mikononi mwa watu. Wizi wa Mlimani City mbona kuna benki zaidi ya moja au nyingine ni majengo wewe una chuki binafsi tunaipenda benki yetu tunakuomba Kimei ufungue matawi mengi nchi nyingine kama Kenya wako Africa nzima

hebu fungu na faili linalohusu azania bancorp,ilipotoka na inakotegemea kwenda,hii benk kama magu atawaacha hawa majizi kuwa wakurugenzi basi haina miaka miwili,singili kaipa shavu azania,waswahili wakampiga vita sasa subirini
 
Back
Top Bottom