Recent content by Akurutogo

  1. Akurutogo

    Life is not static

    This is Mike Iron Tyson the world successfully boxer with his Financial advisor that time but now is the president of USA and Tyson is a normal citizen. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Akurutogo

    Kwanini Mapadre na Masista wa Kanisa Katoliki hawaoi/hawaolewi?

    Kuna watoto na watu wazima walishafanyiwa vitu vibaya sana na hao mapadri, mpaka papa alizunguka kule America ya kusini anaomba msamaha. Huku Africa wanazaa bila tabu, ni wachache wasio na familia. Najua mapadri, Masista na mafadha wapo kwenye harakati za kudai Uhuru wa kuachiwa wajamiiane kw...
  3. Akurutogo

    Waziri aagiza DC Luoga achunguzwe matumizi ya fedha za North Mara

    Nnachojua pale Mara pamepoa sana siku hizi, Luoga amejitahidi kupambana na watu vichwa sana hapa Tanzania, lakini kama alifikia mahali naye akaamua ajilipe kisiri siri bila mtu kujua basi naye asimame kwenye zamu yake.
  4. Akurutogo

    Geita: Marufuku mtumishi wa umma kuvaa suti. Utavaa siku akija Rais au uwe mgeni rasmi tu

    Kumekucha, yajayo yataendelea kustaajabisha Dunia
  5. Akurutogo

    For all those Getting Excited That Uhuru is winning See here

    Kama wakenya hawakumchagua Raila mtu asiye na harufu ya ufisadi, tusije kusikia mnalalamika kuhusu ufisadi nchini mwenu. Nyie endeleeni kuchagua watu wenye historia ya Wizi na ufisadi. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Akurutogo

    Kanusho: Vyeti feki vyafyeka polisi kwa mamia, ni habari ya Uongo

    Hiyo nayo ni kazi, usikariri kazi kuwa ni lazima upate pesa wengine wanaridhika moyo wakipewa hata asante Hakuna askari aliyeachishwa wala atakayeachishwa
  7. Akurutogo

    Plot4Sale Viwanja Vyote Vina Hati ,Viko Kibada Centre

    Nami nauza hapohapo Kibada Sqm 2600 kw TZS 45m
  8. Akurutogo

    PRESIDENT UHURU KENYATTA MAKES HISTORIC VISIT TO KDF IN SOMALIA EARLIER TODAY.

    Good Mr president for visiting battle field
  9. Akurutogo

    TBC hawaishi kuchemka

    We naye uko tbc? Huelewi nini hapo
  10. Akurutogo

    Fake News: Watangazaji 9 wa TBC waliotangaza Trump amsifia rais Magufuli, Wasimamishwa kazi

    Hivi TBC bado inafanya kazi? Kw Mara ya mwisho niliangalia Tido akiwa mkulugenzi baada ya hapo naona kwenye mabango ya barabarani.
  11. Akurutogo

    ATCL kununua mfumo wa ukataji tiketi

    Usije ukawa unaongea hivyo kwa kuwa haupo kwenye nafasi!
  12. Akurutogo

    Nina miaka 30,ila najihisi nina miaka 20!kuna tatizo?

    Usijilaumu, laumu mbegu ya kwenu
  13. Akurutogo

    Hili wanalolifanya Wakurya sio sawa kabisa

    Acha watahiliwe we kama unaona kero hama huko kwani asilimia 90 ya kivule ni Wakurya
Back
Top Bottom