ATCL kununua mfumo wa ukataji tiketi

jerrytz

JF-Expert Member
Oct 10, 2012
5,975
4,266
Shirika la ndege la Tanzania lina mpango wa kununua mfumo wa kiteknolojia wa ukataji wa tiketi (ticketing reservation system) kutoka nchini Uturuki.

Mfumo huo utagharimu kiasi cha shilingi za Kitanzania milioni 147/-sawa na dola 67,000/-.

Uwekwaji na matumizi ya mfumo huo utasaidia shirika hilo kuepuka usimamizi mbaya katika uuzwaji wa ticket na pia kuboresha huduma kwa wateja alisema mkurugenzi mtendaji ndugu Ladislaus Matindi.

" Tumeingia makubaliano na Hitit Solutions Co. Wiki Mbili zilizopita ila kupata mfumo huo na mafunzo kwa Wafanyakazi wa ATCL yameshaanza ili kuwafundisha jinsi ya kutumia mfumo huo.

Matumizi ya mfumo huo yanatarajiwa kuanza mwezi ujao.

ATCL ilipoteza kiasi cha shilingi milioni 715 kutokana na mfumo mbovu wa ukatishaji wa ticket hali iliyopelekea waziri Prof. Makame Mbarawa kumsimamisha kazi meneja fedha wa ATCL ndugu Stephen Kasubi.

Tanzania yetu!
 
Air Tanzania iliuliwa kwa kuibiwa.

Ili kuifufuwa na kuwa yenye tija inabidi kila idara itazamwe na ifumwe upya.

Ni hayo hayo kwa mashirika yote ya umma.

Watanzania waliowengi hususan walioajiriwa ni wezi wa kutupwa.

Nnamshauri Magufuli awake sheria za China tu kuhusu wizi na ubadhirifu wa Mali za umma. Watu wawili watatu wakiuliwa wengine watatia akili. Bila hivyo hawa wezi watakuja na mbinu mapya kila siku.

Nampongeza Mbarawa na Magufuli kujitahidi kiaina yao lakini bado zinahitajika sheria kali kabisa.
 
Air Tanzania iliuliwa kwa kuibiwa.

Ili kuifufuwa na kuwa yenye tija inabidi kila idara itazamwe na ifumwe upya.

Ni hayo hayo kwa mashirika yote ya umma.

Watanzania waliowengi hususan walioajiriwa ni wezi wa kutupwa.

Nnamshauri Magufuli awake sheria za China tu kuhusu wizi na ubadhirifu wa Mali za umma. Watu wawili watatu wakiuliwa wengine watatia akili. Bila hivyo hawa wezi watakuja na mbinu mapya kila siku.

Nampongeza Mbarawa na Magufuli kujitahidi kiaina yao lakini bado zinahitajika sheria kali kabisa.
Naunga mkono hoja katika hili suala la Kuyapiga risasi hadharani au kuyanyonga hadi kufa hadharani MAJIZI yote ya Mali za UMMA.
 
Air Tanzania iliuliwa kwa kuibiwa.

Ili kuifufuwa na kuwa yenye tija inabidi kila idara itazamwe na ifumwe upya.

Ni hayo hayo kwa mashirika yote ya umma.

Watanzania waliowengi hususan walioajiriwa ni wezi wa kutupwa.

Nnamshauri Magufuli awake sheria za China tu kuhusu wizi na ubadhirifu wa Mali za umma. Watu wawili watatu wakiuliwa wengine watatia akili. Bila hivyo hawa wezi watakuja na mbinu mapya kila siku.

Nampongeza Mbarawa na Magufuli kujitahidi kiaina yao lakini bado zinahitajika sheria kali kabisa.
awake=aweke
mapya=mpya.
 
Ongezea neno sijui huko shuleni alienda kufunzwa nini?
hahahhaaa....natamani anambie kale kamsemo kuwa huko shuleni mlienda kusomea ujinga.
ila ilo neno sijui dah mkuu,ana msimamo nalo kuwa ye anatamka kama lilivo ati,sijuwi.huyo ndo faizafoxy bhana.
 
Tender zilitangazwa lini? Je kuna wazawa wameshindwa kutengeneza tailored system nzuri kuliko hiyo?
 
Air Tanzania iliuliwa kwa kuibiwa.

Ili kuifufuwa na kuwa yenye tija inabidi kila idara itazamwe na ifumwe upya.

Ni hayo hayo kwa mashirika yote ya umma.

Watanzania waliowengi hususan walioajiriwa ni wezi wa kutupwa.

Nnamshauri Magufuli awake sheria za China tu kuhusu wizi na ubadhirifu wa Mali za umma. Watu wawili watatu wakiuliwa wengine watatia akili. Bila hivyo hawa wezi watakuja na mbinu mapya kila siku.

Nampongeza Mbarawa na Magufuli kujitahidi kiaina yao lakini bado zinahitajika sheria kali kabisa.
Tena wezi wengi walikuwa wanaitumia ikulu kama sehemu ya kutafunia futari magufuli hakufanya kosa kuwatimua wale wapishi wa wezi
 
Air Tanzania iliuliwa kwa kuibiwa.

Ili kuifufuwa na kuwa yenye tija inabidi kila idara itazamwe na ifumwe upya.

Ni hayo hayo kwa mashirika yote ya umma.

Watanzania waliowengi hususan walioajiriwa ni wezi wa kutupwa.

Nnamshauri Magufuli awake sheria za China tu kuhusu wizi na ubadhirifu wa Mali za umma. Watu wawili watatu wakiuliwa wengine watatia akili. Bila hivyo hawa wezi watakuja na mbinu mapya kila siku.

Nampongeza Mbarawa na Magufuli kujitahidi kiaina yao lakini bado zinahitajika sheria kali kabisa.

Hawezi kuweka hizo sheria kwasababu zitamrudia. Yeye mwenyewe kaiba sana.
 
Air Tanzania iliuliwa kwa kuibiwa.

Ili kuifufuwa na kuwa yenye tija inabidi kila idara itazamwe na ifumwe upya.

Ni hayo hayo kwa mashirika yote ya umma.

Watanzania waliowengi hususan walioajiriwa ni wezi wa kutupwa.

Nnamshauri Magufuli awake sheria za China tu kuhusu wizi na ubadhirifu wa Mali za umma. Watu wawili watatu wakiuliwa wengine watatia akili. Bila hivyo hawa wezi watakuja na mbinu mapya kila siku.

Nampongeza Mbarawa na Magufuli kujitahidi kiaina yao lakini bado zinahitajika sheria kali kabisa.
Usije ukawa unaongea hivyo kwa kuwa haupo kwenye nafasi!
 
Mfumo wa gharama kubwa sana ...wangetangaza tender ishindaniwe...sina hakika kama walitangaza tenda naamini wangepata
 
Air Tanzania iliuliwa kwa kuibiwa.

Ili kuifufuwa na kuwa yenye tija inabidi kila idara itazamwe na ifumwe upya.

Ni hayo hayo kwa mashirika yote ya umma.

Watanzania waliowengi hususan walioajiriwa ni wezi wa kutupwa.

Nnamshauri Magufuli awake sheria za China tu kuhusu wizi na ubadhirifu wa Mali za umma. Watu wawili watatu wakiuliwa wengine watatia akili. Bila hivyo hawa wezi watakuja na mbinu mapya kila siku.

Nampongeza Mbarawa na Magufuli kujitahidi kiaina yao lakini bado zinahitajika sheria kali kabisa.
Kuifufuwa=Kuifufua
 
Air Tanzania iliuliwa kwa kuibiwa.

Ili kuifufuwa na kuwa yenye tija inabidi kila idara itazamwe na ifumwe upya.

Ni hayo hayo kwa mashirika yote ya umma.

Watanzania waliowengi hususan walioajiriwa ni wezi wa kutupwa.

Nnamshauri Magufuli awake sheria za China tu kuhusu wizi na ubadhirifu wa Mali za umma. Watu wawili watatu wakiuliwa wengine watatia akili. Bila hivyo hawa wezi watakuja na mbinu mapya kila siku.

Nampongeza Mbarawa na Magufuli kujitahidi kiaina yao lakini bado zinahitajika sheria kali kabisa.
Dada Faiza una hoja. Lakini umeshajiandaa kupambana na wanasheria wa haki za binadamu?.

Siku zote huongea kana kwamba wanachokisimamia kinamwakilisha moja kwa moja Mwenyezi Mungu!.
 
Dada Faiza una hoja. Lakini umeshajiandaa kupambana na wanasheria wa haki za binadamu?.

Siku zote huongea kana kwamba wanachokisimamia kinamwakilisha moja kwa moja Mwenyezi Mungu!.
Sijakuelewa.

Hao haki za binadamu wanatetea wezi wa mali ya umma?
 
Kuifufuwa=Kuifufua
Tofauti na au tafauti ni shule zetu, yangu ilinifundisha kufikiri, yako ilikufundisha kupokea hata makosa, kusomea ujinga.

Tamka kwa sauti hicho ulichorekebisha, jibu utalopata utanielewa tu.
 
Back
Top Bottom