Wakubwa mbona mambo ya kimsingi mnaropoka? Kwani mangapi kashasema mkaropoka kuwa uongo na baadae mkaumbuka? Hata Ulimboka angesema mnge mropokea! Hivi ndivyo majambazi ya CCM yanavyojipanga kung'angania madaraka, na wananchi tumeshafahamu sasa TUNASEMA IMETOSHA tunataka haki kwa kila mtanzania...
Wengi walisha kufa kisha usalama wa Taifa ukapiga kimya kwa kuwa walihusika wao na kama sivyo tukutane mahakamani kwa mifano ifuatayo; kifo kile cha Kombe Arusha, kolimba, hujuma zilizowapata ulimboka na kubenea, wabunge wa CDM walio umizwa hvi majuzi nk. Haya nayo wanasema nini kwa watanzania...
Wana Jf. Natumai wote mwenyezi uzima kawajalia. Napendezwa na blog hii ya kijanja na ndo nimejiunga rasmi ila tatizo ni baadhi ya lugha zinazo chefua kutoka kwa baadhi ya watu ila naamini watajirekebisha soon. Asanteni na tuzidi kuangaza upeo kupitia bog hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.