Recent content by akii81

  1. A

    Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

    Mkuu babako kakuchoka anakuoana kama zigo linalosubiri kuoza lipitiwe na maji ya mvua. Unadhani ni jambo dogo baba kukuacha ashindwe hata kukujengea kaself ??? Kaona acha maisha yakufunze na ngoja ushindwe kulipa kodi utajutraa mkuu. Ila kwa wabebez wa mtaa wanaonekana wana hasira na wewe balaa...
  2. A

    Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

    Mkuu lala sasa ushafanya kazi mchana kutwa au ndo unafata wabebez mwenzio riz yuko na wife analea wanae wewe unaenda kulea pros wa mikocheni. Aibu kubwa sana hii le mutuz akili kubwa iko wapi sasa ?????
  3. A

    Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

    Mkuu le mutuz unajua nimejikuta nasoma huu uzi mwanzo mwisho. Nimekubali hii akili kubwa inaelekea Invisible umem pm asiufute uzi au kuunganisha na mwingine. Ila nakushauri ujenge hata room na kaseble chako uache upoyoyo wa kukaa nyumba za kulala ukute kina Rizi wanakucheka kwa hilo life...
  4. A

    Ushauri kwa wanaotaka kuunga directly degree kutokea diploma mwaka huu.

    Tafuta chuo karibu na kwenu ili usev ila mkopo sahau labda kama ualimu wa sayansi au udaktari. Jipange babuuu
  5. A

    Huduma ya kupiga simu WhatsApp kwa watu wote

    Wakuu simu yangu iko update kabisa ila haya mabadiliko sijayaona bado
  6. A

    Nyoka/mdudu mwenye vichwa viwili

    Mwepesi Kabwela nadhani litakua jina lake jipya biologically
  7. A

    Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

    Acheni wivu wa maendeleo pumbavu zenu hamna hata kiwanja kugamboni vinauzwa milioni 1 au 2 mmekaa mnatokwa na mapovu eti tangu 2009. Laanakum nyie ndo mana hata mungu anawatupa unafikiri mungu anapenda husda ????
  8. A

    Karibu tuchore ramani ya nyumba yako pamoja na kuijenga

    Mkuu weka bei elekezi hapa
  9. A

    Salary Slip zero shillings

    Mwaka jana nilikopa hela nikawa nakatwa miezi mitano salary yote nilijikomit ili nimalize haraka sababu sikua na kazi na mshahara. Hela ya matumizi nauza kuku zangu life linasonga coz sina mke wala dem. Mwaka huu nimedhamiria kujenga na kwa mazoea ya kutotumia hela nilojenga salary ya january...
  10. A

    Hivi ni kweli ubahili unaweza kumfanya mtu awe tajiri?

    Siri ya utajiri kwangu mimi naamini ni utajiri. Nalipwa 650000 kwa mwezi natumia elfu 50 vocha n.k. nakula home nakula kazini natumia usafiri wa bure sina mke sina mtoto sina mademu wapigaji. Kwanini nisisave hela yangu ???? Vijana wengi nawajua wanalipwa karibu milioni ila mtu hawezi kusave...
  11. A

    Gari mpya ya mzee Mengi kali kutoka Ughaibuni

    Mzee kaamua kuwatunuku mapacha na mama kitu cha kwenda market. Juzi kati mke wa Slilaaaha akawa anasema mumewe eti ni baba. Ina mana hajaoa ???? Jakuilini itabidi amuite babu wa wanae au nae kawekewa pingamizi aitishe vyombo vyake atangaze vita kama kawaida yake.
  12. A

    Mwito kwa Wana Ilboru wa JF: Tuisaidieni Shule Yetu. Hali Yake Inatisha na Kusikitisha!.

    Mbona unaanza kuleta ubaguzi kwenye jambo lisilo na msingi ???? Ina maana msikiti ukirekebishwa we unaumia sana. Ajabu hutatoa hata mia mapovu ya njaa tu ndo yatakutoka humu. Mxiiiiiiu
  13. A

    ITV na isidingo the need???

    Mkuu umenifurahisha kwa kweli
  14. A

    Ofisi ya Bunge: Hatujapata taarifa rasmi ya Zitto kuvuliwa uanachama CHADEMA

    Nimesoma mistari kidogo. Huu upumbavu wa kulazimisha kuandika kiingereza utagharimu watu sasa ujumbe umefika ????? Unaandika heading nzuri maelezo pumb* tupu ??? Mods tunaomba mfute huu uzi wa huyu mwandishi kanjanja. Period
  15. A

    Taarifa sahihi kuhusu ulinzi wa Dk. Willibrod Slaa dhidi ya upotoshwaji unaoenezwa

    Mkuu nyaraka hizi si mchezo. Hakika intelijensia yako iko makini sana. Unakubalika na wana kimoyomoyo hata wakificha
Back
Top Bottom