Nyoka/mdudu mwenye vichwa viwili

Nyoka/mdudu mwenye vichwa viwili

hao wapo sana nilisha mkuta kwenye kundi la siafu. sijajua anauhusiano gani na siafu

WAKUU!!!
HUYO NI NYOKA,YUPO KWENYE KUNDI LA:BLIND SNAKES-(FAMILY TYHLOPIDAE)NA HANA VICHWA VIWILI KAMA TUNAVYODHANI!NYOKA HUYU NI KIPOFU NA SEHEMU YAKE YA MBELE INAFANANA SANA NA MKIANI SO HII IKAPELEKEA KUDHANI KWAMBA ANAVICHWA VIWILI.KUNA AINA ZAIDI YA 240 ZA NYOKA HUYU NA KWA E.AFRICA TUNA AINA23 IKIWA NI PAMOJA NA HUYU TUNAYEMJADILI HAPA.
NYOKA HUYU UISHI KWENYE MASHIMO YENYE UNDONGO LAINI NA KIPINDI CHA MVUA KAMA HIKI NDIO HUTOKA KWENYE MASHIMO MAANA MASHIMO HUJAA MAJI.
CHAKULA CHAKE NI WADUDU WARUKAO NA MCHWA PAMOJA NA LAVA(LARVAE).UNAWEZA NIULIZA CHOCHOTE KUHUSU NYOKA MAANA NDIYO FANI YANGU HASWAAAAA!!!
AHSANTENI KWA USHIRIKIANO!!!!
Mkuu Mimi naishi mazingira yenye nyoka sana....sasa nasikia kna mmea ukipanda kunguka uzio nyoka akanyagi kabisa...je huo ni mmea gain!? je kuna ukweli wwte kuhusu jiwe LA kunyonya sumu nyoka au PESA aina ya sarafu!?[/QUOTE]

Nikiwa mdogo kule kijijini, huyu nyoka akionekana tulikuwa tukiambiwa jambo baya litatokea kwenye familia kama msiba

WAKUU!!!
HUYO NI NYOKA,YUPO KWENYE KUNDI LA:BLIND SNAKES-(FAMILY TYHLOPIDAE)NA HANA VICHWA VIWILI KAMA TUNAVYODHANI!NYOKA HUYU NI KIPOFU NA SEHEMU YAKE YA MBELE INAFANANA SANA NA MKIANI SO HII IKAPELEKEA KUDHANI KWAMBA ANAVICHWA VIWILI.KUNA AINA ZAIDI YA 240 ZA NYOKA HUYU NA KWA E.AFRICA TUNA AINA23 IKIWA NI PAMOJA NA HUYU TUNAYEMJADILI HAPA.
NYOKA HUYU UISHI KWENYE MASHIMO YENYE UNDONGO LAINI NA KIPINDI CHA MVUA KAMA HIKI NDIO HUTOKA KWENYE MASHIMO MAANA MASHIMO HUJAA MAJI.
CHAKULA CHAKE NI WADUDU WARUKAO NA MCHWA PAMOJA NA LAVA(LARVAE).UNAWEZA NIULIZA CHOCHOTE KUHUSU NYOKA MAANA NDIYO FANI YANGU HASWAAAAA!!!
AHSANTENI KWA USHIRIKIANO!!!!

Nimefurahi sana kujua ndumilakuwili ni nyoka........nilidhani ni jina la kwenye Sani tu.......
sasa huyo mdau hapo juu kasema alimkuta kwenye siafu........ana uhusiano wowote na hao jamaa...........?.........[/QUOTE]

Huyo wa kwenye siafu ni tofauti na huyu.Wa kwenye siafu anaitwa MALKIA na ndiye mzazi wa SIAFU na MCHWA,as well NYUKI mala nyingi ni mweupe.Binafsi mie nimewahi kumuona huyo MALKIA mara 1 tu na nilikua ata sijaanza shule nadhani was 1986,kuhusu jiwe la nyoka ni kweli lipo na kazi yake ni kunyonya sumu but si ya nyoka wote,bcoz kuna nyoka sumu yake inasafiri mwilini kufuata mapigo ya moyo yanavyokwenda.so kila uvutapo pumzi na sumu inapanda mwilini.Kuna nyoka akikuuma cha kwanza sumu yake inaua white blood cells faster,then kifuatacho ni kutoka damu kila sehemu yenye tundu mwilini mwako.
kuhusu mti unaozuia nyoka kuingia kwa kweli sina elimu juu ya hilo sorry!!




.
 
ni mdudu gani ?

WAKUU!!!
HUYO NI NYOKA,YUPO KWENYE KUNDI LA:BLIND SNAKES-(FAMILY TYHLOPIDAE)NA HANA VICHWA VIWILI KAMA TUNAVYODHANI!NYOKA HUYU NI KIPOFU NA SEHEMU YAKE YA MBELE INAFANANA SANA NA MKIANI SO HII IKAPELEKEA KUDHANI KWAMBA ANAVICHWA VIWILI.KUNA AINA ZAIDI YA 240 ZA NYOKA HUYU NA KWA E.AFRICA TUNA AINA23 IKIWA NI PAMOJA NA HUYU TUNAYEMJADILI HAPA.
NYOKA HUYU UISHI KWENYE MASHIMO YENYE UNDONGO LAINI NA KIPINDI CHA MVUA KAMA HIKI NDIO HUTOKA KWENYE MASHIMO MAANA MASHIMO HUJAA MAJI.
CHAKULA CHAKE NI WADUDU WARUKAO NA MCHWA PAMOJA NA LAVA(LARVAE).UNAWEZA NIULIZA CHOCHOTE KUHUSU NYOKA MAANA NDIYO FANI YANGU HASWAAAAA!!!
AHSANTENI KWA USHIRIKIANO!!!![/QUOTE]

Kuna kitu nilikiona watoto wakimpiga.anaweza kwenda kwa uelekeo wowote. Kwamba ikiguswa upande mmoja hageuki Bali huelekea upande mwingine hicho pia kilikuwa kinanifanya niamini ni vichwa viwili ...
 
Mkuu Mimi naishi mazingira yenye nyoka sana....sasa nasikia kna mmea ukipanda kunguka uzio nyoka akanyagi kabisa...je huo ni mmea gain!? je kuna ukweli wwte kuhusu jiwe LA kunyonya sumu nyoka au PESA aina ya sarafu!?





Nimefurahi sana kujua ndumilakuwili ni nyoka........nilidhani ni jina la kwenye Sani tu.......
sasa huyo mdau hapo juu kasema alimkuta kwenye siafu........ana uhusiano wowote na hao jamaa...........?.........[/QUOTE]

Huyo wa kwenye siafu ni tofauti na huyu.Wa kwenye siafu anaitwa MALKIA na ndiye mzazi wa SIAFU na MCHWA,as well NYUKI mala nyingi ni mweupe.Binafsi mie nimewahi kumuona huyo MALKIA mara 1 tu na nilikua ata sijaanza shule nadhani was 1986,kuhusu jiwe la nyoka ni kweli lipo na kazi yake ni kunyonya sumu but si ya nyoka wote,bcoz kuna nyoka sumu yake inasafiri mwilini kufuata mapigo ya moyo yanavyokwenda.so kila uvutapo pumzi na sumu inapanda mwilini.Kuna nyoka akikuuma cha kwanza sumu yake inaua white blood cells faster,then kifuatacho ni kutoka damu kila sehemu yenye tundu mwilini mwako.
kuhusu mti unaozuia nyoka kuingia kwa kweli sina elimu juu ya hilo sorry!!




.[/QUOTE]

Asante sana Mkuu. Hii ni Elimu muhimu kuijua...
 
WAKUU!!!
HUYO NI NYOKA,YUPO KWENYE KUNDI LA:BLIND SNAKES-(FAMILY TYHLOPIDAE)NA HANA VICHWA VIWILI KAMA TUNAVYODHANI!NYOKA HUYU NI KIPOFU NA SEHEMU YAKE YA MBELE INAFANANA SANA NA MKIANI SO HII IKAPELEKEA KUDHANI KWAMBA ANAVICHWA VIWILI.KUNA AINA ZAIDI YA 240 ZA NYOKA HUYU NA KWA E.AFRICA TUNA AINA23 IKIWA NI PAMOJA NA HUYU TUNAYEMJADILI HAPA.
NYOKA HUYU UISHI KWENYE MASHIMO YENYE UNDONGO LAINI NA KIPINDI CHA MVUA KAMA HIKI NDIO HUTOKA KWENYE MASHIMO MAANA MASHIMO HUJAA MAJI.
CHAKULA CHAKE NI WADUDU WARUKAO NA MCHWA PAMOJA NA LAVA(LARVAE).UNAWEZA NIULIZA CHOCHOTE KUHUSU NYOKA MAANA NDIYO FANI YANGU HASWAAAAA!!!
AHSANTENI KWA USHIRIKIANO!!!!

Kuna kitu nilikiona watoto wakimpiga.anaweza kwenda kwa uelekeo wowote. Kwamba ikiguswa upande mmoja hageuki Bali huelekea upande mwingine hicho pia kilikuwa kinanifanya niamini ni vichwa viwili ...[/QUOTE]

Ni kweli mkuu!!!
Huyu nyoka ni kipofu(blind)
so anauwezo wa kujihami kuelekea upande wowote.
kwa kuongezea tu ni kwamba nyoka wa aina hii ana nguvu sana,so ata kumshika kwake na kumthibiti ni tabu sana!!!
 
Kuna jamaa ametandika fix hapa ati anasema ni nyoka ambao wapo katika kundi la vipofu na wakati huo huo ati chakula chake kikuu ni wadudu warukao na watambaao WHAAAAAAT??
 
Kuna jamaa ametandika fix hapa ati anasema ni nyoka ambao wapo katika kundi la vipofu na wakati huo huo ati chakula chake kikuu ni wadudu warukao na watambaao WHAAAAAAT??

Ya MUNGU mwachie Mungu,na ya KAISAR mwachie Kaisar.
Upofu wake haumzuii kujipatia rizki yake.
Hivi ulishawahi kumsikia yule nyoka anayetembea na walinzi(bodygurds)?
So usichezee fani za watu mkuu!!!!!
hiyo ni elimu ya darasani na si hadithi za mababu!!!!!
 
WAKUU!!!
HUYO NI NYOKA,YUPO KWENYE KUNDI LA:BLIND SNAKES-(FAMILY TYHLOPIDAE)NA HANA VICHWA VIWILI KAMA TUNAVYODHANI!NYOKA HUYU NI KIPOFU NA SEHEMU YAKE YA MBELE INAFANANA SANA NA MKIANI SO HII IKAPELEKEA KUDHANI KWAMBA ANAVICHWA VIWILI.KUNA AINA ZAIDI YA 240 ZA NYOKA HUYU NA KWA E.AFRICA TUNA AINA23 IKIWA NI PAMOJA NA HUYU TUNAYEMJADILI HAPA.
NYOKA HUYU UISHI KWENYE MASHIMO YENYE UNDONGO LAINI NA KIPINDI CHA MVUA KAMA HIKI NDIO HUTOKA KWENYE MASHIMO MAANA MASHIMO HUJAA MAJI.
CHAKULA CHAKE NI WADUDU WARUKAO NA MCHWA PAMOJA NA LAVA(LARVAE).UNAWEZA NIULIZA CHOCHOTE KUHUSU NYOKA MAANA NDIYO FANI YANGU HASWAAAAA!!!
AHSANTENI KWA USHIRIKIANO!!!!

Nimefurahi sana kujua ndumilakuwili ni nyoka........nilidhani ni jina la kwenye Sani tu.......
sasa huyo mdau hapo juu kasema alimkuta kwenye siafu........ana uhusiano wowote na hao jamaa...........?.........[/QUOTE]

huyu mdudu kawaida hupenda kufatana na siafu, kwa sie tuliokulia vijijini ni kitu cha kawaida sana, na hasa kipindi hiki cha mvua mvua tunawaona sana tu,
 
Mkuu kuhusu mti ni kwel hata mi nimewahi ambiwa na bibi angu siukumbuki vizuri ila sijui ni mkarati huo mti ni noumaa hata ukipata na mdudu kidoleni ukiweka tu aseeh yan ni fastaa kidole kinasinyaaa na kupona kabisaa
 
ni mdudu gani ?

WAKUU!!!
HUYO NI NYOKA,YUPO KWENYE KUNDI LA:BLIND SNAKES-(FAMILY TYHLOPIDAE)NA HANA VICHWA VIWILI KAMA TUNAVYODHANI!NYOKA HUYU NI KIPOFU NA SEHEMU YAKE YA MBELE INAFANANA SANA NA MKIANI SO HII IKAPELEKEA KUDHANI KWAMBA ANAVICHWA VIWILI.KUNA AINA ZAIDI YA 240 ZA NYOKA HUYU NA KWA E.AFRICA TUNA AINA23 IKIWA NI PAMOJA NA HUYU TUNAYEMJADILI HAPA.
NYOKA HUYU UISHI KWENYE MASHIMO YENYE UNDONGO LAINI NA KIPINDI CHA MVUA KAMA HIKI NDIO HUTOKA KWENYE MASHIMO MAANA MASHIMO HUJAA MAJI.
CHAKULA CHAKE NI WADUDU WARUKAO NA MCHWA PAMOJA NA LAVA(LARVAE).UNAWEZA NIULIZA CHOCHOTE KUHUSU NYOKA MAANA NDIYO FANI YANGU HASWAAAAA!!!
AHSANTENI KWA USHIRIKIANO!!!![/QUOTE]

Sawa mkuu vipi huyu nyoka anauma?na kama ana uma anasumu?pls
 
Nimefurahi sana kujua ndumilakuwili ni nyoka........nilidhani ni jina la kwenye Sani tu.......
sasa huyo mdau hapo juu kasema alimkuta kwenye siafu........ana uhusiano wowote na hao jamaa...........?.........

huyu mdudu kawaida hupenda kufatana na siafu, kwa sie tuliokulia vijijini ni kitu cha kawaida sana, na hasa kipindi hiki cha mvua mvua tunawaona sana tu,[/QUOTE]

Aisee........kijijini kwenu ni wapi na mimi nije nione.....?.....napenda sana kuona aina mbili za viumbe zikiwa pamoja........ .
 
Ya MUNGU mwachie Mungu,na ya KAISAR mwachie Kaisar.
Upofu wake haumzuii kujipatia rizki yake.
Hivi ulishawahi kumsikia yule nyoka anayetembea na walinzi(bodygurds)?
So usichezee fani za watu mkuu!!!!!
hiyo ni elimu ya darasani na si hadithi za mababu!!!!!

Lete habari zake hapa. :copy kwa munirah
 
Last edited by a moderator:
Ni jamii ya nyoka na huwa hawang'ati,sio kuwa wanavichwa viwili hapana kichwa kipo sehemu moja ila huwa sehemu kubwa ya mawasiliano yake anatumia ulimi kujua wapi kwa kwenda,na jamii zingine huwa wanamhusisha na ubaya wakimuona,HUWA ANAONEKANA KUKIWA MVUA NYINGI SANA,NA HAKUKUWA HAJA YA KUMUUA WANGEMUACHA AAENDE ZAKE
 
huyu mdudu kawaida hupenda kufatana na siafu, kwa sie tuliokulia vijijini ni kitu cha kawaida sana, na hasa kipindi hiki cha mvua mvua tunawaona sana tu,

Aisee........kijijini kwenu ni wapi na mimi nije nione.....?.....napenda sana kuona aina mbili za viumbe zikiwa pamoja........ .[/QUOTE]

Kijiji cha Nantare - Kata ya Ngoma, Wilaya ya ukerewe
Nantare -
 
Ndugu wana jamvi, jioni ya Leo nilishtushwa na kelele za watoto wakisema wameona nyoka mwenye vichwa viwili pasipo mkia.
Kwanza nilifikiri ni utani wa watoto, lakini baadae nikaamua kwenda kuangalia.
Japo nilikuta watoto wanamuua lakini nilithibitisha ni kweli pande mbili ni vichwa hana upande wenye mkia.
Kwa kweli Mimi ni mara ya kwanza kuona kitu cha aina hiyo.
Je ? Ni jambo la kawaida
Wataalam wa Elimu ya viumbe mnaweza kutusaidia hii inakuwaje ?
Je ? Kwa kadri ya picha huyo ni nyoka kweli kama sio nyoka ni mdudu gani ?

 
Back
Top Bottom