Kwa faida yetu wasomaji hapa ni vema ukaleta japo wanazuoni wawili kwa uchache waliosema Allah hasikii lugha yoyote zaidi ya kiarabu, ama rejea inayoaminika, la sivyo utakuwa UMEZUSHA UONGO.
Shida iliyokuwepo ni kwamba kwa kiasi kikubwa vuguvugu la madai na wanopingana (na huenda wakakubali siku za baadae)ni wanasiasa. Na hao hao ndio hujakutawala mchakato mzima kuanzia kwenye mamlaka ya kuandaa muundo wa tume na upatikanaji wa kiongozi wa hiyo tume pamoja na wajumbe wake. Na hata...
Bila shaka yupo wa moyo wako ambaye unamfuatilia kabla hujaonana na 'Prisca' hiyo juzi. Kama kweli yupo basi shikilia na endelea kufuatilia ujiridhishe ukiwa na nafasi na uhuru wa kufanya maamuzi sahihi.
Prisca wa stendi ya Makumbusho siyo yule wa kipindi mko shule. Kumbuka alikukataa wewe...
Tofauti ni kubwa na ya wazi kabisa.
Ibrahim sadaka yake ilikuwa na maana halisi ya sadaka kwa kuwa ilikuwa ni sadaka kwa ajili ya Muumba wake BALI kinachofanyika pale Kawe ni ufukarishaji tu wa wafuasi. Michango anakabidhiwa mtu kwa jina la sadaka tu. Poleni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.