Gwajima na siasa za Ubunge

Gwajima na siasa za Ubunge

Wewe na Gwajima hamna tofauti.

Labda tu Hujatengeneza Video Ya Ngono
 
Gwajima/ walokole wapo spiritual ndio manaa hujawahi kuwasikia wameandamana wakapigwa mabomu kama waislamu.

Waislamu Vita vyao sio spiritual bali ni physical mfano kujilipua mabomu,kuua makafiri..n.k ndo maana serikali na jeshi la polisi lazima wawe makini nao lasivyo patakuwa somalia hapa
 
Sasa hata sheikh angesema nini kingetokea maana hata wasingehangaika naye kama ambavyo hawakuhangaika na Gwajima maana halina uzito wowote maana haliwezekani hilo

Mbona huwa mnasema Yesu siyo Mungu na hakuna lolote linalotokea kwenu mnajitengenezea tu hofu isiyokuwepo
 
Hayo maneno aliyatamka kwenye kampeni au kanisani kwake? tuanzie hapo
 
Hili la matamshi ya Gwajima kuhusu kugeuza Madrasa kuwa Sunday Schools na Makanisa inabidi ulaumu utawala uliopo kwa kutomchukulia hatua na BAKWATA kwa kukaa kimya. Huu utawala unaupendeleo wa wazi ka kikabila, kikanda na kidini.
Labda hujamwelewa Mzee Mohamed Said , yeye ameshakwambia igeuze hiyo kauli iwe kinyume chake ndio ungejua nani ni nani.
 
Labda hujamwelewa Mzee Mohamed Said , yeye ameshakwambia igeuze hiyo kauli iwe kinyume chake ndio ungejua nani ni nani.
Hebu soma nilichoandika na ulichoandika wewe halafu uje tena ucomment. Mwenzio Mzee Mohamed Said kapita kimya. Usidhani hajaona nilichoandika
 
Hebu soma nilichoandika na ulichoandika wewe halafu uje tena ucomment. Mwenzio Mzee Mohamed Said kapita kimya. Usidhani hajaona nilichoandika
Kinyungu,
Kweli hebu fikiri sheikh angesema nataka nigeuze Sunday schools zote ziwe madrasa ingekuwaje.

Ndugu yangu kakupa ushauri mzuri.
Fanya hivyo na rejea hapa utupe fikra zako.
 
Sasa hata sheikh angesema nini kingetokea maana hata wasingehangaika naye kama ambavyo hawakuhangaika na Gwajima maana halina uzito wowote maana haliwezekani hilo

Mbona huwa mnasema Yesu siyo Mungu na hakuna lolote linalotokea kwenu mnajitengenezea tu hofu isiyokuwepo
Weeeee! Mtu alisema Yesu sio Mungu alifungwa huko Moro bila waislam kuingilia kati ilikuwa nitoleee
 
Sasa hata sheikh angesema nini kingetokea maana hata wasingehangaika naye kama ambavyo hawakuhangaika na Gwajima maana halina uzito wowote maana haliwezekani hilo

Mbona huwa mnasema Yesu siyo Mungu na hakuna lolote linalotokea kwenu mnajitengenezea tu hofu isiyokuwepo
Kama hujafanya tafiti usiandike

Muombe Mzee Mohamedi akuletee yalomkuta Dibagula kuhusu kusema Yesu siyo Mungu huko Moro
 
Kinyungu,
Kweli hebu fikiri sheikh angesema nataka nigeuze Sunday schools zote ziwe madrasa ingekuwaje.

Ndugu yangu kakupa ushauri mzuri.
Fanya hivyo na rejea hapa utupe fikra zako.
Mzee Mohamed ukisoma comment yangu nimesema wazi wa kulaumiwa ni serikali kwa kutokumchukulia hatua yoyote, tena nikasema hata BAKWATA wanabeba lawama maana pamoja na kusikia matamshi hayo hawakusema chochote wamebaki kama mabubu. Au haukutaka kusoma comment yangu mheshimiwa?
 
Mzee Mohamed ukisoma comment yangu nimesema wazi wa kulaumiwa ni serikali kwa kutokumchukulia hatua yoyote, tena nikasema hata BAKWATA wanabeba lawama maana pamoja na kusikia matamshi hayo hawakusema chochote wamebaki kama mabubu. Au haukutaka kusoma comment yangu mheshimiwa?
Kinyungu,
Nimesoma siwezi kuacha kusoma.

Ahsante sana.
 
Waislam wamempuuza tapeli na upumbavu wake badala ya kuwapongeza unawalaumu
Huyo Bwana hapuuzwi na Waislamu tu, kila Mwenye akili timamu anajua yule jamaa ni Mpiga dili tu...na inashangaza Mtu kama Mzee Saidi kutia uzito kwa mambo yasiyohitaji hata kufuatiliwa.
 
Hivi huyo Bw Gwaji ana wafuasi wangapi?, kwa nini unataka ionekane kana kwamba anayofanya au kusema huyo Bwana anawakilisha jamii nzima ya Ukristu?.

Hivi ni mangapi tunakutana nayo mitaani na tunayapuuza...kuna wakati unapita unakuta Mtu kakusanya Watu anaongea mambo yake tena kavaa kanzu na baragashia lakini Mtu unapita na zako unaachana nao...tukianza kushabikia kila kitu kinachofanywa na kila Mtu sidhani kama tutapata muda wa kufanya mambo mengine ya muhimu.

Kama hayo Magazeti yamempuuza kwa nini na wewe unashindwa kumpuuza?, ni wapi umeona Nabii Tito akipewa kipaumbele kwenye vyombo rasmi vya habari zaidi ya mitandaoni?...Kwa nini wewe unatamani wawe wanatoa uzito kwa mambo yasiyo na afya kwa jamii kama hayo?.
 
Mohamed Said, Yaani nikiangalia clip alipokuwa akiponda ubunge kwa dharau zote waumini wanashangilia kwa mbwbwe zote na miluzi halafu clip ya juzi akitangaza kutia nia na kupamba uamuzi wake wa kigeugeu bado waumini wanashangilia pia kwa miluzi, nimeona aibu sana kwa niaba ya waumini hao.

Yani kiongozi wa dini anaweza kuchezea akili za watu apendavyo kwa kigezo cha imani tu jamani!!!!. Imani ya hivi ni kuuza utu na ufahamu wako ambao ni zawadi binafsi kutoka kwa Mungu!!!!

Kama dhana ya dhambi ni halisi, tendo hili ni dhambi pia!!!!
 
Mohamed Said unakosea sana. Siyo kila Nabii, Mtume na Askofu ni Padri. Padri ni wadhifa wa kanisa katika dhehebu la Catholic na Anglican pekee. Ama umepotosha makusudi au kutokujua(siamini kama haujui).
Huyu si Padre na nashukuru hata yeye mwenyewe hajawahi na asithubutu kujiita Padre maana hafananii kwa maneno wala matendo yake!!
 
Subiri uone akipitishwa kugombea Kawe ndo ujue kwamba #1 hapangiwi
Hilo ni suala tofauti. Ampe tu kama mkakati wake utafanikiwa kupitia huyu. Ila kwa mwenendo wake ni dhahiri hana msimamo, si mtunza ahadi na anaweza kuvunja hata kiapo chake wakati wowote!!

Kifupi, si wa kuamini.
 
Kama hayo Magazeti yamempuuza kwa nini na wewe unashindwa kumpuuza?,

Ni wapi umeona Nabii Tito akipewa kipaumbele kwenye vyombo rasmi vya habari zaidi ya mitandaoni?..

.Kwa nini wewe unatamani wawe wanatoa uzito kwa mambo yasiyo na afya kwa jamii kama hayo?.
May Day, kuna hoja ambayo sijui kama wengi wanaielewa! huenda wanaielewa lakini hawataki kukabiliana nayo. Hilo ni tatizo kubwa kwa Watanzania.

Wazungu wanasema 'ukitaka kupata suluhu ya tatizo lazima kwanza ulitambue tatizo''

Hapa kuna sehemu mbili za kuongelea

Mohamed Said anauliza, je ingalitokea maneno hayo kayasema Sheikh, je, magazeti unayosema yangepuuza?
Je, vyombo rasmi unavyosema vingepuuza kama vinavyompuuza Nabii tito?
Je, wangeacha kutoa uzito kwa mambo yasiyo na afya kwa jamii?

Kwahiyo unatakiwa kumjibu Mohamed Said hoja yake kwa mtazamo wa Askofu Gwajima vs Sheikh X

Wakati ukitafakari kumjibu Mohamed, nikukumbushe kuwa kuna kauli kama ''siasa kali, fundamentalist'' , kwamba kauli hizi zinatoka wapi kama tuna uwezo wa kupuuza kila kitu kutoka kwa hawa viongozi wa dini?

Kwa upande wa pili, kuna tatizo kwa Mohamed Said kugoma ku appreciate'' uwepo wa tatizo kwa watu wake

Mathalan, Juzi katiwa ndani Sheikh Ponda . Siku iliyofuata Sheikh Kundecha kakanusha waraka.
Siku iliyofuata shura inakubali waraka huo ni wao.

Katika mazingira haya unawezaje kusema '' waislam wapo kimya' na si kuwa wamepagawa?

Huwezi kuangalia waraka wa Ponda kwa jicho la waraka wa Maaskofu.
Ukifanya hivyo bila kuangalia tatizo la msingi ni kukwepa ukweli.
Kabla ya ulinganifu unatakiwa ujiulize kwanza, je, kuna ulinganifu miongoni mwa watu wako?

Na wala huwezi kuangalia waraka wa Ponda kwa jicho la serikali bila kujiuliza serikali hiyo ipoje madarakani?
Utaratibu wa nchi, serikali inatokana na chama, na chama tawala ni CCM

Nitaendelea nikipata nafasi, nalala niwahi shambani kesho.
Magimbi hapa Magila na Kicheba tumejaaliwa mwaka huu
 
Back
Top Bottom