STUKA M1
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 7,421
- 7,011
Duuuh kweli hebu nimpange.. kwahyo barua ya Serikali wa mtaa nasikia zinakubalika kama ni utambulisho wako..?Mwambie issue ya majina kwenye kitambulisho kutofautiana na vyeti aimalize kabla ya kwenda kwenye usaili. Utumishi hawacheki na kima watamtoa nduki bila kupepesa macho.