Recent content by Akca

  1. A

    Masheikh mliosoma dini na kupata nyadhifa katika jamii acheni tabia ya kuchanganya dini na uganga/uchawi

    Halafu wanajiona hao. Utasikia wanajisifu hawatuwezi/ haniwezi mtu hapa mtaani
  2. A

    Mtaje Mnyama au Mdudu unayemuogopa

    Wale wadudu wa miembe na mikorosho msimu wa kutoa maua.. ..nawaogopa sana na siwapendi hata kuwaona mwili unasimsimka
  3. A

    Kuna binti hana hela ya kulipia lodge. Tunafanyaje wakuu?

    We muache tu si anajifanya hajui
  4. A

    Kati ya Samaki hawa wapi watamu zaidi?

    Ukute niliwahi kula na wala sikujua😀😀
  5. A

    Kati ya Samaki hawa wapi watamu zaidi?

    Aisee...huyu mimi sili ukimleta hivi labda uwe umempika tayari. Kama nyoka!
  6. A

    Kati ya Samaki hawa wapi watamu zaidi?

    Hao siwajui. Nitawatafuta
  7. A

    Kati ya Samaki hawa wapi watamu zaidi?

    Ana weusi na kama sliver fulani hivi anateleza na hana magamba ndani mwekundu ana bei huyoo
  8. A

    Kati ya Samaki hawa wapi watamu zaidi?

    Labda Jodari tu kwa baharini ndo mtamuuu...
Back
Top Bottom