Rudi shule kwanza upate hata bachelor ndo uanze kutafuta kazi. Unadhani iyo diploma yako nani atakuajiri? wakati kuna cheap labour kibao na tena ni degree holder. Msaada pekee ni kukushauri ukaongeze elimu.
Je unaqualification za kuitwa??? umesoma kozi gani? sawa utumishi kuna mchezo mchafu lakini huwa wanajitahidi kuwa fair katika kuita watu ingawa wanakuwa wameshapanga watu wao wachache.
Nadhani kila mtu mwenye akili timamu anafahamu jinsi CCM ambavyo imegawanyika kwa makundi. Sasa wanapotuongopea ya kwamba kwenye uchaguzi wao watu wameshinda kwa 100% na JK kashinda kwa 99.2% wanafikiri ya kwamba inawasaidia kuongopa kwa jamii ya kwamba chama chao hakina mgawanyiko au? wakati...
Muulize chama chao hakina watu wengine competent wa kugombea Urais? Mbona kila siku ni wale wale tu? Hawaoni kwamba wao hawakubaliki ndo maana hawashindi. Wajaribu kuwasimamisha watu wengine waone.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.