Recent content by AIR MSAE

  1. AIR MSAE

    Naomba radhi kwa Rais Magufuli

    Nimekuelewa sana mkuu
  2. AIR MSAE

    Naomba radhi kwa Rais Magufuli

    Kulipwa sio hoja Je unalipwa inavyopaswa kulipwa?
  3. AIR MSAE

    Nyerere alitukomoa katika Elimu watu wa Kigoma

    Ukifanikiwa kutoka kigoma hata kama ni mzaliwa hukumbuki kurudi maana tunapajua wenyewe Kwa udhibitisho angalia wabunge wa kigoma hawarudi hadi uchaguzi mwingine
  4. AIR MSAE

    Nyerere alitukomoa katika Elimu watu wa Kigoma

    Ulisemalo ni kweli maana hata katika sekta nyingine yote ni yaleyale Watumishi wanalia na wananchi wanalia pia Hakuna mkombozi Ni kama awamu ya 4 kila mtu alikua analia viongozi na wananchi hakuna aliyekua na solution ya matatizo yetu Ndalichako alikuja juzi juzi lakini pamoja na kumuuliza...
  5. AIR MSAE

    Tupigeni story yoyote

    Hadi 2020 ajira mpya zitakapotoka tutaona na tusiyotarajia Au unasemaje mama
  6. AIR MSAE

    Msaada: Simu ikiita, nataka kuendelea na nilichokua nafanya bila kukata

    Wakuu nawasalimu kwa heshima zote Naomba mwenye uelewa wa application ninayoweza kuweka katika simu yangu iniwezeshe wakati nimepigiwa simu inaita niwe na uwezo wa kuendelea na nilichokuwa nafanya kabla sijapokea Natanguliza shukrani ndugu zangu
  7. AIR MSAE

    Nyerere alitukomoa katika Elimu watu wa Kigoma

    Nikiwa kama mzaliwa na mkazi wa Kigoma nimekulia katika maneno yaliyopata umaarufu kila kukicha kwamba Nyerere alitunyima elimu ili tusimpindue Katika pitapita zangu nikitafuta elimu niliibuka na haya yafuatayo, Sio kweli Nyerere alitunyima elimu sisi Waha Sisi Waha hatupendi elimu iliyopo...
  8. AIR MSAE

    Nikiri wazi: Namfahamu shetani

    [emoji56] [emoji56] [emoji56] nimeshamfahamu huyu shetani hata mimi
  9. AIR MSAE

    Lissu: Lowassa ni tembo wa siasa

    Mavi sio tatizo kuna vingi ambavyo bado havijasharabiwa vinavyohitajika kurudi katika mzunguko
  10. AIR MSAE

    Rais Magufuli: Hakuna mpinzani atakayekanyaga kwenye serikali yangu

    Kujivunia umaskini ni udhaifu Huyu mungu mtu naona maombi yake kila siku ni kutugeuza sisi majuha Anajivunia na umaskini wetu wakati sisi tumapigana tuondoke huko Nimesikua anamshauri Nkurunziza wa Zanziba awe mkali,ama kweli tumepwaya watanzania awamu hii
  11. AIR MSAE

    Rais Magufuli: Hakuna mpinzani atakayekanyaga kwenye serikali yangu

    Kujivunia umaskini ni udhaifu Huyu mungu mtu naona maombi yake kila siku ni kutugeuza sisi majuha Anajivunia na umaskini wetu wakati sisi tumapigana tuondoke huko Nimesikua anamshauri Nkurunziza wa Zanziba awe mkali,ama kweli tumepwaya watanzania awamu hii
  12. AIR MSAE

    KIGOMA DC:Waziri Ummy Mwalimu tusaidie

    Waziri Ummy Mwalimu kama unavyofahamu sekta ya afya nayo iliingia katika mpango wa BRN ili kuboresha huduma za afya nchini Mh. Waziri,halmashauri hii ya Kigoma iliingizwa Nov 2015 katika mpango huu na Aug 2016 tukaletewa fungu la 10mil kwa kila kituo cha afya kilichokuwa na mapungufu ili tuweze...
  13. AIR MSAE

    Naomba radhi kwa Rais Magufuli

    Me sijataka ufafanuzi kwa raia,nimepeleka toba yangu kwa mheshimiwa basi,hayo ya Kairuki sijui Simbachawene sijui nani ni najua ni mihemko inawasumbua Ndio maana ombi langu halijapitia kwa waziri yoyote sababu hakuna hata mmoja ninayemwamini baraza lote
  14. AIR MSAE

    Naomba radhi kwa Rais Magufuli

    Ninakupuuza
  15. AIR MSAE

    Naomba radhi kwa Rais Magufuli

    Nikueleweshe kwa lugha gani labda
Back
Top Bottom