Recent content by aikambe

  1. A

    Interview PPF

    Ata mm nimeitwa lakini ni written interview hii
  2. A

    Interview PPF

    Bado hawajaita interview ya kwanza ilikua 6/6 ya pili ilikua 27/6 pale maktaba na ya tatu ilikua 10/7 sasa watu wameripoti lini acha mambo yako bana walisema after two weeks baada ya oral interview na bado
  3. A

    Changamoto niliyokutana nayo nilipokwenda Pharmacy kununua Condom

    Umenipa raha, mm niliwahi kumuambia mtu nahitaji studded condom, akaniuliza we kila condom unajua raha yake, nikamwmabia studded ni nzuri inanipa raha
  4. A

    Interview PPF

    Dah ppf kuna siri nzito sana
  5. A

    PPF wamenza kuita watu usaili wa Oral

    What is the hotline number of ppf, Hahahaaa, who is the director of trustee
  6. A

    PPF wamenza kuita watu usaili wa Oral

    Nilivyokua nasoma sms za watu kuwa watu watakua wengi, ooh watu wameitwa ambao hawakufanya written ya kwanza, si kweli jaman watu mumuogope mungu, kumbe ppf walikua wanaawandikia ata wale walioshindwa kuingia awamu ya pili, zaidi nimeona humu kuna watu wapotoshaji, mfano hai kuna mtu kanionyesha...
  7. A

    Badoo inanivunjia uchumba wangu

    Hili ni ngumu kumeza aisee ata ujana wangu sikuwahi kufanya ivyo dah
  8. A

    Tupeane yanayojiri DUCE kwenye usaili wa PPF

    Dah na mm nakamua hapa, nijue nafanyaje operation trainee
  9. A

    Ghorofa limenifanya nikosane na marafiki pamoja na wakwe zangu

    Wakishua nakupenda hahaaaaaaaa watu watakavyonizodoa
  10. A

    Ni haki kumwabudu marehemu?

    Huhuuuuuu eti thaman ya mchicha, kwan mchicha ukisinyaa una thaman, je maiti inawezwa kutupwa jalalani
  11. A

    Mfanyakazi wa Kutunza Maiti Mochwari akiri Kufanya Mapenzi na Maiti za Wanawake

    Nilivyo mzuri na hii shape akinikamata nimeisha
Back
Top Bottom