Nilivyokua nasoma sms za watu kuwa watu watakua wengi, ooh watu wameitwa ambao hawakufanya written ya kwanza, si kweli jaman watu mumuogope mungu, kumbe ppf walikua wanaawandikia ata wale walioshindwa kuingia awamu ya pili, zaidi nimeona humu kuna watu wapotoshaji, mfano hai kuna mtu kanionyesha...