Bado hawajaita interview ya kwanza ilikua 6/6 ya pili ilikua 27/6 pale maktaba na ya tatu ilikua 10/7 sasa watu wameripoti lini acha mambo yako bana walisema after two weeks baada ya oral interview na bado
Nilivyokua nasoma sms za watu kuwa watu watakua wengi, ooh watu wameitwa ambao hawakufanya written ya kwanza, si kweli jaman watu mumuogope mungu, kumbe ppf walikua wanaawandikia ata wale walioshindwa kuingia awamu ya pili, zaidi nimeona humu kuna watu wapotoshaji, mfano hai kuna mtu kanionyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.