Tupeane yanayojiri DUCE kwenye usaili wa PPF

Tupeane yanayojiri DUCE kwenye usaili wa PPF

Hakuna haja ya kusita kuhudhuria usaili kama unaweza na unayo nafasi ya kufanya hivyo hata kama idadi ya wasailiwa ni kubwa kupindukia (kumbuka kuwa wahitimu ni wengi sana kwa sasa na bado wanaongezeka kila siku), huwezi kujua pengine wewe ndio umeandikiwa kuipata moja kati ya nafasi hizo chache zilizotangazwa.
Ukihudhuria usaili mara kwa mara inakujengea tabia ya kujifunza na uzoefu wa yanayojiri huko.
 
usumbufu huu, sawa wametangaza wale ambao bado awajamaliza degree na waliomba kutumia matokeo ya yasiokamilika watoke nje, watu ndo wanatoka....kwa nn mliwaita?

hata mim nimeshangaa kweli mkuu ,mkuu bila shaka utakua ghorofani mim nipo huku chini twatoa macho tu,hawana lolote kabisa hawa,nje watu wa saa5 wamejaa kweli
 
hata mim nimeshangaa kweli mkuu ,mkuu bila shaka utakua ghorofani mim nipo huku chini twatoa macho tu,hawana lolote kabisa hawa,nje watu wa saa5 wamejaa kweli

Kwani interview ya leo ni position zote jamani walizotoa
 
usumbufu huu, sawa wametangaza wale ambao bado awajamaliza degree na waliomba kutumia matokeo ya yasiokamilika watoke nje, watu ndo wanatoka....kwa nn mliwaita?

Nashindwa kuelewa unamuita mtu kwenye usahili anamatokeo nusu au hajapata cheti lakini watu na vyeti vyao wameomba na hamkuwaita wako mtaani dah HR deparment iko ovyo sn
 
Ukipita usahili huu ujue wewe ni ndugu na yesu,nmepata taarifa kuwa kuna watu washaandaliwa,hii ndio bongo bhana!kila kitu umimi!
 
Kama mpaka sasa hawajamaliza intake ya kwanza, hiyoi ya pili na ya tatu itakuwaje!
 
Back
Top Bottom