Recent content by aikamatemu

  1. aikamatemu

    Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

    Naelewa situation unayopitia mkuu Pole sana unajua watu hawaelewi kuna soulmate akikukaa amekukaa hatoki moyoni hata udate na wengine wangapi bado hawawezi replace hiyo nafasi yake though unakuta ni mtu wa kawaida sana mapenzi huwa hayaoni
  2. aikamatemu

    Kisa cha Mapenzi...

    Tuishi nao Kwa Akili Mkuu
  3. aikamatemu

    6's before getting married

    [emoji23][emoji23][emoji23]baada ya kufanya hivyo niligundua karithi tabia za mama yake 101%. Ndio mke hadi sasa
  4. aikamatemu

    Urembo wa huyu dada umeniponza, naombeni ushauri

    [emoji23][emoji23][emoji23]jamaa kauza mechi kisa pisa kali.Pathetic
  5. aikamatemu

    JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

    Asante mkuu [emoji109][emoji109]
  6. aikamatemu

    Iran nchi inayoongoza kwa kuikopesha Tanzania

    Hahahaa kwa hiyo mtu aharibu kwenye maisha then akiwa marehemu asemewe vizuri. Pathetic
  7. aikamatemu

    Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

    Kabisa mkuu. Ally Happy ni mtu wa mihemko sana nimewahi kumkuta na wapambe wake mkoa flani kwenye starehe cha kushangaza hakutaka asiyekuwa mpambe wake asogee eneo walilokuwa wamekaa tulimtuliza na wapambe wake akawa mpole kama maji mtungini na angejua alitulizwa na vijana wa 95...
  8. aikamatemu

    Mfahamu Naftali Bennett, Waziri Mkuu mtarajiwa wa Israel

    Acha umang'aa bangi inahusikaje hapo
  9. aikamatemu

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Iringa Nduli moja hiyo[emoji23]
  10. aikamatemu

    Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

    Kama mfuko ukiwa njema sioni sababu ya kununua gari za showroom au mkononi mwa mtu wanazifanyia michezo mingi ni kheri mara elfu nijikamue nichukue iliyotumika nje
  11. aikamatemu

    Hadi zianze kuvuja na video ndo tufute viti maalum bungeni?

    Mawaziri vivuli wanakazi gani wana maana gani wana faida gani? Wabunge viti maalumu wana kazi gani wana faida gani Mbona me sielewi? We nenda wape salamu zao Waambie sina tatizo nao.By FREENATION
  12. aikamatemu

    Ukiondoa wastaafu wanaosubiri mafao yao, ni kundi gani jingine linaisoma namba zaidi?

    Ni kweli mkuu PSSSF ni ugonjwa unaoua wastaafu. Nimewahi fwatilia mafao ya mtu wangu wa karibu alifariki 2017 nilihangaika from.hiyo 2017- 2020 ndio walinipa stahiki za marehemu tena kwa mbinde haswa. Nilitokea kuwachukia sana jamaa wanakaa ofisini hamna kitu cha maana wanachofanya.Pathetic
  13. aikamatemu

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

  14. aikamatemu

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

Back
Top Bottom