Recent content by Aika Mndumii

  1. A

    JamiiForums Tanzania 90 Minutes in raid on Entebbe: Tukio la ukombozi wa mateka wa Israel Nchini Uganda - THUNDERBOLT

    Mkuu katika hivyo vita vya 6 days war Israeli iliishambulia Misri, Yordan na Syria na kuzishinda ndani ya siku sita. Mwazo vilikuwa ni vita kati ya Misri na Israeli baada ya mmisri kutwangwa na bila Yordan kujua kwamba Mmisri ametwangwa wakaingia kumsaidia Misri nao wakatwangwa. Siria nae...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Rais kapotoshwa na wasaidizi wake utenguzi wa Kairuki?

    Hata mimi nashangaa mimi najua mtu huwezi kuanza kazi kabla ya kusaini mkataba je yeye alisaini mkataba usiokuwa na mshahara? Na kama hakuwa na mkataba kwa nini afanye kazi bila mkataba? Halafu miaka mitatu hupokei mshahara unakula nini?au alikuwa anaishi kwa njia gani? Mimi naona Magu yuko sawa.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Kisheria

    Wakuu poleni kwa majukumu. Naomba ushauri wenu wa kisheria juu ya jambo hili. Nulinunua nyumba iliyouzwa kwa mnada kupitia kwa dalali alieteuliwa na Benk fulani iliyoko jijini Dar es Salaam. Nyumba hiyo iliuzwa na benk kwa kuwa mwenye nayo alishindwa kulipa deni la benk. Baada ya mauzo ndani...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Upatikanaji wa Plot Mbweni Dsm

    Mkuu ukiweza kupata kiwanja mbweni utafurahi maana ni maeneo mazuri. Ila kwa hiyo bei ngoja waje wenyewe wakuambie bei. Mara ya mwisho mwaka jana niliulizia bei ya mita za mraba 800 hapo mbweni JKT nikaambiwa milioni 45 ilbidi niende mbezi msakuzi.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi kuhusu upotoshaji wa gazeti la Nipashe

    Journalists knows how to link the dots and they can study your mind...siyo lazima watafuniwe kila kitu. Unafikiri hao walengwa wangetumia rasilimali tajwa kupigia UKAWA kampeni?
  6. A

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi kuhusu upotoshaji wa gazeti la Nipashe

    Sasa wewe ulitegemea hao wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi watatumia rasilimali zilizotajwa kwa ajili ya chama gani kama siyo CCM? think big!!
  7. A

    JamiiForums Tanzania Natafuta nyumba ya kunuanua sinza au Kijitonyama

    Wakuu natafuta nyumba ya kununua sinza au Kijitonyama. Iwe kwenye hali nzuri na kwenye kiwanja kilichopimwa. Budget yangu ni up to 80m kulingana na ubora wa nyumba. Shukran
  8. A

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kiwanja maeneo ya Ununio

    Mkuu na wewe kwa nini unafikiri Goba au makongo juu panafaa kuliko Ununio? kwa mfano makongo na Goba land scaping yake ni mbaya, maji ni shida, barabara za kuingia kwenye mitaa ni mbaya hasa wakati wa mvua.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Coaster mpya zinakodishwa

    Mkuu Tangazo lako halijitoshelezi ndiyo maana jamaa amekupa changamoto kwa kusema ofisi ziko Biharamulo nilifikiri sasa utakuja na tangazo linaloeleweka kumbe wapi. Olesaidim amekusaidia hapo juu namna ya kuboresha Tangazo lako.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya mgombea urais 2015 yaibwa Lumumba

    Yaani hii nchi. Natamani Nyerere Arudi hata kwa mwezi mmoja aweke mambo sawa halafu arudi aliktoka.
  11. A

    JamiiForums Tanzania Beach plot at Mjimwema Kigamboni for sale

    Hilo eneo haliko ndani ya mradi wa mji mpya?? tafadhali fafanua hapo kabla hujapigiwa simu.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Kupunguza uzito

    PH maana yake ni nini?
  13. A

    JamiiForums Tanzania Toyota Allex for sale

    lete picha ya leather ulioweka watu waone
  14. A

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kiwanja cha jirani na barabara kwa ajili ya kujenga frem ya biashara

    Haha haa niko makini kaka
  15. A

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kiwanja cha jirani na barabara kwa ajili ya kujenga frem ya biashara

    Wakuu natafuta kiwanja cha jirani na barabara kwa ajili ya kujenga ka frem ka biashara: Eneo: Kigamboni barabara ya kutoka ferry kupitia kibada paka kutokea Kongowe Ukubwa: Kuanzia mita 400 za mraba. Ikiwa eneo limepimwa ni nzuri zaidi Tahadhari: Eneo lisiwe ndani ya hifadhi ya barabara au...
Back
Top Bottom